Nilivyomteka nyara mtoto wangu mwenye utapiamlo toka kwa mama yake

Bora ulimuiba
 
Umenikumbusha mbali sna...kuna dada wa kikurya alinikubali sana huku na huku anaknitegeshea mimba

Nikaona hapa.....damu yangu itakuja kuteseka bure

Nilichofanya naomba m.mungu anisamehe......
 
Somiie trako yeye Ni vikoba na madera tu
 
Nimecheka kama mazuri hapo kwenye mtoto kuwa na kitambi๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ
 
Inawezekana dingi yangu alaienda mwiba dogo mtwara alizaa na mwanamke fulani sasa wale uko kwao waa iman za kishirikina yule dogo alikuja potea ktk mazingira ya ajabu akaja patikana mwezi baadae ila dinhi nae alifanya jambo kidog
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ