Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mbona umekua na kiherehere sana kwa umughaka anagalia asije akakupiga mbupu, unajipa umuhimu kwake ambao hauna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwana acha matusi dhidi yangu kwamba mm najipendekeza kwa umaghaka
 
Yaani nilikuwa nasoma ila image inakuja kichwani kama movie yaani [emoji1] hongera sana mkuu umetupa elimu, na burudani kwa pamoja haya mapito ni darasa kubwa kwa vijana wa kileo kwamba amna kinachokuja kirahisi kikakaa milele kwenye maisha yako kikubwa tufanye kazi
 
askari gani smart,atumie simu ya rafiki yako kukupigia kwa sauti yake?lazima angemwambia mtatiro ndo apige,kama kwa yule dada wa pesa za bandia,kule musoma alipiga yeye kumwita umughaka,na akaenda.
Yule dada kule Musoma yuko smart alitumia simu yake kumuita Umughaka na akaenda..dada smart sana.. profesawaaganojipya
 
Sasa mtu ameachana na rafiki yake akiwa anaumwa na simu imepigwa kutokea Bugando Hospital, logically alishajua jamaa yake Mtatiro amezidiwa.
Manjagu wangekuwa wanamsubiri pale getini Bugando na wangemkamata kama kuku.
 
Umughaka, unakipaji kikubwa sana, hadithi imekidhi vigezo kwa kugusa nyanja mbalimbali za maisha yetu.

Nimeburudika, nimejifunza na kuelimika. Barikiwa sana sana!
Nashukuru umetumia neno "hadithi". Kila mtu anajua maana ya hadithi.
 
"Kama mnaona story ina chai nyingibsi mpite tu kimya kimya"
NDUGU YANGU NIKUJULISHE TU, SISI SIO KIZAZI HICHO CHAKO, SISI SIO KIZAZI CHA "ndio bwana mkubwa" KITU KAMA NI SAWA TUNASEMA NI SAWA KAMA SIO TUNASEMA SIO, TENA WAZIWAZI.
 

Wakurya katika makuzi yao, moja ya mwiko namba moja kwao ni kutokususa kwa lolote! Mimi sijamshangaa kabisa! Imagine mwanaume wa kizaramo asingefika hata sehemu ya nne
 
We umeshindwa kuelewa mwenzake aliondoka akiumwa?mpiga simu ilitaja Bugando hospital lazima aliunganisha dots tu!
 
Hiv unajua pesa zilivyo tamu na maisha yalivyobana,sasa eti uache kazi yako ukamuone mtu alieko mbali ambako utatumia karibia siku 5
Kutoka Dar hadi mbeya ni siku tano?? Yaani 5?? Hata wanaoenda Marekani hawaendi hivyo. Kama ana ndugu huko huwa anaenda kuwaona na anaenda kumuona na Gabi je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…