Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

hii ndio story pekee ilifaonikiwa kufika tamati .umughaka vipi zile bima za afya bado ipo kiunoni?
 
Yaani niliishia hapa duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko hapa sirari stand ya kwenda tarime na borega natamani kukuulizia Umughaka lakini ndio hivyo
 
Duu maisha haya.
 
Mwanamke anaeleza haraka haraka hela zilipo wakati mwenye hela hajaamua kusema,na kesho jamaa akiwa amelazwa mwanamke atamuomba hela ya matumizi

Mwanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani nmekuwa addicted mpaka nmeanza kununua vitabu vya Musiba, though ni stori za kufikirika lakn ni muandishi mzuri sana.

Kuna mnyama mmoja anaitwa "Willy Gamba" ni mpelelezi mmoja hatari sana anatumiwa kama character mkuu wa vitabu vyake (Musiba), kama hicho kitabu Cha "kikosi Cha kisasi" Willy anatumiwa na OAU kushughulika na makampuni pandikizi ya majasusi yaliyokuwa yanawaua wapigania uhuru, duuh ana show Kali sana

Willy anapenda wanawake sana, Kila nchi anayokwenda na Kila mission anayoanza lazima awe na mwanamke mpya, nafkir Musiba angeonyesha athari za wanawake katika moja ya riwaya zake, Kwa sabb wanawake wametumiwa kama chambo ya kuwaangusha wapelelezi mahili aidha kukwamisha mission kubwakubwa, nakumbuka ule mpango wa kuiangamiza Israel ulioratibiwa na falme za kiarabu, mpaka dakika za mwisho wanajiandaa na mashambulizi, ni mwanamke aliyewakwamisha (utafuatilia Kwa wakati wako)

STORI ZA UMUGHAKA ZIMELETA AROSTO AISEE
NA SASA, AJE AMALIZIE KILE CHA "NILIVYOFEL FORM 6 KISA MAPENZI YA WATOTO WA KITANGA"

KARIBU SANA MKUU

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
View attachment 2429505View attachment 2429507View attachment 2429509
 
Hivyo vitabu vya Musiba Mimi Ninavyo vyote havichoshi kusoma mkuu
 

"Nilivyofeli form 6" si ndio hii story ilianzia kule mwanzo alifeli akafukuzwa nyumbani.
 
"Nilivyofeli form 6" si ndio hii story ilianzia kule mwanzo alifeli akafukuzwa nyumbani.
Hapana, nadhani hii ni story baada ya yeye kufeli form 6 , check hiki kipande kidg cha season one[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

"Mkurya mimi kutoka wilayani Tarime kijiji cha Mogabiri nikajikuta nazamia kwenye dimbwi la mapenzi ya mtoto wa kitanga ambaye alifanya hata kusoma nikaacha nikawa namuwaza yeye na utamu wa papuchi yake!.

(Shamima popote ulipo ulaaniwe mbwa wewe kwa kuniharibia maisha[emoji23][emoji23]). All in all ni kwamba napambana na maisha yanasonga japo ni kibishi!. Sasa haya ya kwanini nilifeli nadhani kwa leo si mahala pake,nitawaeleza tu kilichofuata baada ya mimi kufeli shule!"
.................................................................................

SASA TUJUE SHAMIM ALICHOMFANYIA MWAMBA UMUGHAKA MPAKA AKAFELI.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…