Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani


Stori ndefu sana lakini nzuri
 
Ni sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
Kuna jamaa nilipanda bolt ya boda ya boda kwenye story aliniambia anakaa kibaha, lakini per day anasema anapata hata 60k tena yeye anapiga city city centre na msasani na maeneo ya town sana sana
 
Kuna jamaa nilipanda bolt ya boda ya boda kwenye story aliniambia anakaa kibaha, lakini per day anasema anapata hata 60k tena yeye anapiga city city centre na msasani na maeneo ya town sana sana
Hiyo 60k ndio Nini? Laki 6 au? Hongera kwa kucomment kama ni laki SITA sio uongo TU Bali alikudharau sana kukuambia hivyo. Alikuona wewe ni mbumbumbu na lofa
 
Unakata kuniambia kwamba unaamini pia umughaka genuine ni bodaboda na bado anapata nafasi ya kuandika makala kama hizi?
 
Tujifunze kuridhika na kuwa na kiasi basi! Jamaa anajitahidi sana kupost. Kesho pia ni siku Nakadori[emoji4]
Nimefurahi sana yaani kuna watu wnaadai episodes kama vile uhai jamanj hivi inawezekana mtu akawa anahitaji mtu akae anaposts tu epsodes yaani hana analolifanya ,hata chooni mtu asiende au asisinzie akalie kupost tu episode loh!!tujitahidi kua nakiasi buana ndio uungwana naustaarabu jamaniii.
 
Umetisha sanaa 🔥🔥🔥✔️
 
Hiyo 60k ndio Nini? Laki 6 au? Hongera kwa kucomment kama ni laki SITA sio uongo TU Bali alikudharau sana kukuambia hivyo. Alikuona wewe ni mbumbumbu na lofa
Sina comment yaani hujui maana ya 60k halafu unasema mimi mbumbumbu na lofa. Lakini mwerevu kashaelewa nani mbumbumbu na lofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…