Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mtuambie mwendelezo ukija! Ila huyu demu alizingua aisee akili hana hata ya kuombea maji. Sidhani kama atakuwa mchaga huyo
 
Mbona unaandika kama umepakatwa? Kama umeshakunywa chai hapo kwa Baba yako, toka ukatafute pesa mtaani, siyo kujibizana na Baba na Mama zako mitandaoni, ukipoteza muda wako ukisubiri cha mchana.
Ninachofanya ni kukueleza tu kwa wema kuwa utaposwa acha shobo bwamdogo,acha kudandia usiyoyajua
 
Anko dereva habari..

Kiukweli sikuwahi kupita huku kabisa…nimesoma comments za watu chache ila nitarudi kwenye thread yenyewe..

Mzima lakini ?

Aunt abiria kwema kabisa, hofu kwako wewe hapo...

Ufanye kuipitia sababu inaburudisha
 
Aunt abiria kwema kabisa, hofu kwako wewe hapo...

Ufanye kuipitia sababu inaburudisha
Mimi Niko mzima kiasi anko dereva.😔

Nitaupitia nipatapo wasaa kidogo.
Niliishia pale alipokuwa anamtukana yule msichana na Tanga aliyemfanya akapata division zero😅😅jamaa anajua kuburidisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…