Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko dereva habari..
Ninachofanya ni kukueleza tu kwa wema kuwa utaposwa acha shobo bwamdogo,acha kudandia usiyoyajuaMbona unaandika kama umepakatwa? Kama umeshakunywa chai hapo kwa Baba yako, toka ukatafute pesa mtaani, siyo kujibizana na Baba na Mama zako mitandaoni, ukipoteza muda wako ukisubiri cha mchana.
Anko dereva habari..
Kiukweli sikuwahi kupita huku kabisa…nimesoma comments za watu chache ila nitarudi kwenye thread yenyewe..
Mzima lakini ?
Mimi Niko mzima kiasi anko dereva.😔Aunt abiria kwema kabisa, hofu kwako wewe hapo...
Ufanye kuipitia sababu inaburudisha
Hawajui amang'ana huyuJamaa anashangaa form 6 kuzingua akalambwa viboko....
Ubongo huhamia hapa 👇🏻👇🏻👇🏻😅😅😅Unajua Kuna ka ukweli kwamba, wanawake wenye mavi mengi kichwani hakuna kitu.
Naona ubongo nao unashuka kwenda kuongeza nguvu kwenye matako hivyo kuwacha kamasi na upepo huku juu.
Ila uongo mbaya. Niwatamu.
SIO DEMU, SEMA MADEMU!Kwa story zake huyu umughaka anaweza pata na demu humu ndani
Acha ubinafsi ,sema tunasubiriNasubiri muendelezo 🙌🏼 UMUGHAKA