Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Jamaa anamchomesha kizembe Sana, wacha tuone anadai mtatiro Ni mshikaji Sana huwa anampa deals kadhaa !

Vp hao police (mapongo) walishindwa kutrack ? Make hakuna mahali umesema ulitupa simu /laini na kutumia simu/namba nyingine !

Good story teller
 
Umepitia harakat nyingi xn ndg, kuna watu wangepitia ata zito moja kat ya mengi uloyaptia ww hakika break ya kwanza imgekua kanisan km sio msikitin
 
Kwa hiyo sasa kaka UMUGHAKA unataka kutuambia kuwa leo hatuli usiku ama hadi komenti ziwe nyingi?, teremsha vitu bhana
 
Hako kabegi usijeenda nako mgodini 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…