Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Bado fuko la pesa huliachi tu, una phd ya ubishi
 
Umeamua ukabadili hizo pesa kwa wachimbaji.
Unachokitafuta utakipata😂
 
Nilichojifunza!
1. Usifanye dili haramu na mwanamke hususani mpenzi
2. Rafiki anamuchango mkubwa kukutengeneza au kukuharibu tabia
3. Hakuna aliyemkamirifu ( mapongo walimwibia OMUGHAKA Pesa zake) na Bosi zao mapongo WALIWAACHIA kwa Kupokea RUSHWA ...
4. Kumfukuza mtoto nyumbani nikutaka kumpoteza! Omghaka ni mwanaume vipi kwa dadazetu si angekuwa KAHABA!
5. Elimu ya secondary kwa mtoto ni chimbuko la kuinuka au kuanguka kimaadili
6. Tamaa mbele mauti nyuma
7. Maisha ni vita
8. Pesa nyingi zinatokana na dili haramu, Rushwa, TOZO, magendo na sadaka feki Zilizo pambwa majina mazuri kuhalalisha! Lakini msingi wake mkubwa ni HARAMU
 
Mkuu Hoaxer huo utaratibu kwa mipakani ni kitu cha kawaida kabisa,labda kama hujawahi kukaa mipakani,uliza wenyeji wa Sirari wakuambie
Mkuu huyu hajui sirari kule njia za kuingia Kenya ni nyingi Sana Tena vichochoroni
 
Mkuu mwaka 2008 nilikuwa hapo mgodini nyasana
 
Nilichojifunza!

8. Pesa nyingi zinatokana na dili haramu, Rushwa, TOZO, magendo na sadaka feki Zilizo pambwa majina mazuri kuhalalisha! Lakini msingi wake mkubwa ni HARAMU
Dili haramu zinalipa sana,unakuta kwa siku unatengeneza faida ya mpaka laki 5 tena kwa mtaji mdogo tu
 
Endelea endelea pls! Hivi pale tarime Nk bado ipo? iliyopo karibu na crdb bank? Kwa wenyeji wa Tarime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…