Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Huu writing flow ya kwako uliwahi kuleta story ya huko mara kuhusu msichana wa kazi na uchawi
 
Umughaka ebu tumalizie story yako,atii kutulambisha mwiko huku dish umeficha yahusuuu!!@
 
Mbona kama mwandiko wa kike??
 
Hiyo ni siku walipopelekwa na Gabi kutambulishwa, kwa boss
 
Hahahaaaaa..........me too kaka,yalikuwaga maeneo yangu sana hayo enzi hizo,...nikitokea babati naenda kuchakaza hayo maeneo yote nyuma ya Mlima kwaraa natokea kwa galapo,....
Miaka inakimbia sana
Xaf sana wew unapajua hasaaa
 
Mpka hapo tushakujua ww ni mwanamke, wanaume hua hatuna manenon hayo uliyoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…