Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Huu writing flow ya kwako uliwahi kuleta story ya huko mara kuhusu msichana wa kazi na uchawi
 
Umughaka ebu tumalizie story yako,atii kutulambisha mwiko huku dish umeficha yahusuuu!!@
 
Pumbafu San Tena mpumbafu uliye tukuka wew wadhani watu walioweka avatar ya mwanaume Ni Wanaume ,vip kuhusu walio weka Avatar ya Mwanamke nao watakuwa Wanawake

Bay the way hap umekuja kutafuta kujuwa jinsi za watu ili nn unataka nn ? Unataka mchumba au unataka ukatambike ? bladfull

Kwa yeyote ataye niuliza hili swali nitamuona mpumbafu aliyetukuka
Mbona kama mwandiko wa kike??
 
Boss wao UMUGHAKA , Gabi na mwamba mwenyewe Mtatiro[emoji23][emoji23]
black-gangster-men-ready-to-fight-dark-14758804.jpg
 
Hahahaaaaa..........me too kaka,yalikuwaga maeneo yangu sana hayo enzi hizo,...nikitokea babati naenda kuchakaza hayo maeneo yote nyuma ya Mlima kwaraa natokea kwa galapo,....
Miaka inakimbia sana
Xaf sana wew unapajua hasaaa
 
Pumbafu San Tena mpumbafu uliye tukuka wew wadhani watu walioweka avatar ya mwanaume Ni Wanaume ,vip kuhusu walio weka Avatar ya Mwanamke nao watakuwa Wanawake

Bay the way hap umekuja kutafuta kujuwa jinsi za watu ili nn unataka nn ? Unataka mchumba au unataka ukatambike ? bladfull

Kwa yeyote ataye niuliza hili swali nitamuona mpumbafu aliyetukuka
Mpka hapo tushakujua ww ni mwanamke, wanaume hua hatuna manenon hayo uliyoandika.
 
Back
Top Bottom