vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
We ni mtunzi mzuri ila hii ni fiction story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu unatakaje?We ni mtunzi mzuri ila hii ni fiction story
IWE KWELI IWE UONGO SISI TUNASOMA TU, KUNA KUJIFUNZA, KUFURAHI NA KUHUZUNIKA NDANI YA STORY ZA legend sir igwe chifu mheshimiwa UMUGHAKA the great!We ni mtunzi mzuri ila hii ni fiction story
IWE KWELI IWE UONGO SISI TUNASOMA TU, KUNA KUJIFUNZA, KUFURAHI NA KUHUZUNIKA NDANI YA STORY ZA legend sir igwe chifu mheshimiwa UMUGHAKA the great!
Bila shaka ata Eric boss kubwa wa Gabr inaonekana ashakataga moto hii ni kwa mijib wa mwandishiItakua wengine ni marehemu sahv, [emoji3] maana story inaonekana ya kitambo
[emoji38][emoji38][emoji38]Matokeo ya sensa tumeyasikia, UMUGHAKA
Monica,Mzee Makono,Mwisa,Mtatiro,na yule demu wa Gabi mwenye Tako kubwa akili zero nao wamehesabiwa
Mbona kama mwandiko wa kike??Pumbafu San Tena mpumbafu uliye tukuka wew wadhani watu walioweka avatar ya mwanaume Ni Wanaume ,vip kuhusu walio weka Avatar ya Mwanamke nao watakuwa Wanawake
Bay the way hap umekuja kutafuta kujuwa jinsi za watu ili nn unataka nn ? Unataka mchumba au unataka ukatambike ? bladfull
Kwa yeyote ataye niuliza hili swali nitamuona mpumbafu aliyetukuka
Chuka hazijaanza kulia paah paah paahBoss wao UMUGHAKA , Gabi na mwamba mwenyewe Mtatiro[emoji23][emoji23]View attachment 2403269
Xaf sana wew unapajua hasaaaHahahaaaaa..........me too kaka,yalikuwaga maeneo yangu sana hayo enzi hizo,...nikitokea babati naenda kuchakaza hayo maeneo yote nyuma ya Mlima kwaraa natokea kwa galapo,....
Miaka inakimbia sana
Mpka hapo tushakujua ww ni mwanamke, wanaume hua hatuna manenon hayo uliyoandika.Pumbafu San Tena mpumbafu uliye tukuka wew wadhani watu walioweka avatar ya mwanaume Ni Wanaume ,vip kuhusu walio weka Avatar ya Mwanamke nao watakuwa Wanawake
Bay the way hap umekuja kutafuta kujuwa jinsi za watu ili nn unataka nn ? Unataka mchumba au unataka ukatambike ? bladfull
Kwa yeyote ataye niuliza hili swali nitamuona mpumbafu aliyetukuka
Mwamba Ana kisasi chake nje na kazi [emoji28]Mtatiro "mi nilitaka kumwambia anikabidhi chuma niingie mzigoni hata muda huu, nishachoka kudharauliwa"