Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Jamani tumpe muda ndugu Umughaka atupe story vizuri akiwa ametulia tupate mtiririko mzuri!

Kwa hiyo Mkuu Umughaka usiwe na haraka ya kuleta murndelezo wa story jipe muda pumua kidogo,fanya mambo yako mengi ya msingi zaidi ,ukipata muda na ukaona ni muda sahihi kutupa episode nyingine utatupa wala usipate pressure sisi tunasubiri!

Relax Mkuu usiwe na pressure sisi tutasubiri! Tunazidi kukupongeza kwa kutupq uhondo!
 
Umesahau kuwa huyu ni graduate wa form six
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…