Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani


Kwanini uchangiwe wakati unaandika kutuburudisha? Acha njaa. Andika watu tunapokuwa free tunaburudika. Unasema wajifunze wajifunze nini? Huwa nyie jamaa mnaandika andika hivi mnaanza kudhani kuwa mnatia material na watu wanahitaji wafaulu. So mnaanza kutumia IDs zenu nyingine kujipasia mfunge. Hilo suala la kukuchangia tukuchangie we unalipa kupost hapa? Umepewa bure toa bure. Acha kutaka kutapeli watu.
 
Hi stor ilivyo huyu jamaa hatakiwi kushobokea MTU yeyote huyu Hasa madem wambwambie oumughaka wa handsome we love u... kuwa wewe tu...
 
Kabisa.... ngoja waje Standard 7 leavers. Watakutukana sana.
 
Diamond ni mburudishaji, Huwa anaburudisha bure?
 
Wakuu habari za leo?

Bila shaka nyie ni wazima kabisa ndugu zangu,poleni sana,Aisee nimetoka kidogo nje ya mji nipo mkoani tulileta Msiba,hivyo nisubirieni nikirudi nakuja kuendelea na kumalizia sehemu kidogo iliyobaki!.

Pia niwatoe hofu hakuna mtu yeyote aliyenitisha wala kuzuia eti nisisimulie,hilo wala lisiwape tabu!.

Vilevile nimejaribu kupitia comments za watu nimeona positive na negative opinions,hii ndiyo akili ya mwandamu siku zote,ukipenda tu usifiwe katika maisha basi wewe utakuwa na matatizo ya utindio wa ubongo!,mimi niendelee kuwaomba watu wanaotoa negative comments wala wasitukanwe na kukejeliwa!,acheni nao waji mwaye mwaye kwa kutumia uhuru vizuri wa kutoa maoni!.

Nilisema nia na lengo ni kufundisha watu,wengine haya ndiyo yalikuwa maisha yetu enzi hizo.

Narudia tena kuwaambia ya kwamba mimi kazi yangu ni bodaboda na napatikana bunju,yeyote anayetaka kuonana na mimi kuja kijiweni napo paki bodaboda yangu basi aje pm nimtumie namba anitafute nimuelekeze aje anione tupige stori,sasa mkiendelea kubisha ya kwamba mimi si bodaboda hiyo haisaidii kwasababu utakuwa ni mjinga tu unayetaka kubisha bila sababu ya msingi wakati mimi muhusika nipo bunju tu hapo ambapo unaweza kufika ili ubishi wako uishe!.Kama nilikuwa mpiga debe ni kitu gani kinizuie kuendesha bodaboda?,mimi sichagui kazi wakuu ili mradi iwe halali,sasa hivi sitaki kuiba cha mtu!.

Mimi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.

Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
 
Pole sana kwa msiba na safari ndugu, Mungu awatangulie
 
Mura pole nmependa umereply usiku wa manane sema tatzo watu washazoea unapost kwa siku episode hata 3 ila kwa leo ni kimya ndo maana wamehaha ...but jitahd ukipata mda andika zisave ukipata mda zipost hata 3 au 2 then kausha


Mura ghora na umusibha ghuyo mbane.
 
Pole sana mkuu, tunakusubiri kwa hamu.. chukua muda wote unaohitaji
 
Mbona povu,jamaa mbona kaeleweka vzr,we mshkaji huna akili kabisa.
 
KAMA KUNA MASTERS INAENDESHA BODABODA HUYO HANA AKILI. MASTERS YAKO UKIIPELEKA KUENDESHA BODABODA UNA KARATASI LA CHUO LAKINI "HUNA AKILI"
we unaongea nini?watu wanaenda na hesabu na malengo,una masters ya ualimu wa arts,mshahara private school,800k,ukiwa na bodaboda,kuna vijiwe ukipiga day & night unaingiza 90,000/=
Dunia hii,kila mtu ana akili zake,hawategemei zako..
 

imi kuandika vizuri ndiyo ikufanye uamini mimi si bodaboda?.Kupanga ni kuchagua.

Vumililieni narudi mjini kesho kutwa,nikifika naendelea ndugu zangu!.
Pole sana na msiba mkuu...
Tunasubiria mwendelezo kwa hamu kubwa
 
we unaongea nini?watu wanaenda na hesabu na malengo,una masters ya ualimu wa arts,mshahara private school,800k,ukiwa na bodaboda,kuna vijiwe ukipiga day & night unaingiza 90,000/=
Dunia hii,kila mtu ana akili zake,hawategemei zako..
Ni sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…