Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mbona povu,jamaa mbona kaeleweka vzr,we mshkaji huna akili kabisa.
Afadhali umegundua hilo. Unakuja jipigia promo uwatapeli watu. Leta stories. Hutaki lala mbele. Wewe JF imekutoza nini? Hatutaki wezi humu. Povu lako kafulie nguo uwe msafi na lingine kaoshee ubongo...🤣 Mnaleta njaa zenu JF... Hatujaomba story.umeleta then unataka ulipwe we unaleta udangaji humu.
 
Hapa watu unawaandaa kwenda waibia. Na pia kuna watu wanatafutwa wajichanganye.... Wewe lete story humu hamna haja ya kuonana. Unataka uwateke na kuwaibia watu?hizi mbinu tunazijua. Usione tumo humu ukadhani wajinga.... Lete story weka episode nyingine leo haraka. Acha ujinga wa kutaka pesa kibwege. Lete story nasubiri.
 
Ikumbukwe haya ni maoni yako
 
KAMA KUNA MASTERS INAENDESHA BODABODA HUYO HANA AKILI. MASTERS YAKO UKIIPELEKA KUENDESHA BODABODA UNA KARATASI LA CHUO LAKINI "HUNA AKILI"
Jamaa anajichanganya katika utunzi. Mi nasubiri amalize nimpe ukweli wake. Maana hii story anachanganya changanya na visa toka kwa Mvyekule
 
Nafunga kula na kunywa nikisubiri mwendelezo kesho kutwa
 

Mura kwa story inakoelekea nakushaur usiruhusu kuonana na mtu hata mm nilikuwa nataka tuonane but nakushaur usitoe no yako wala kukubali kuonana na mtu wa insta
Bro kosa la jinai huwa halifi hata kama ni baada ya miaka kumi bado kesi inaweza kufufuliwa na ukashtakiwa
So pls baki tu mtu asiyejulikana kama wengine hapa jf
 
Kumbe bodaboda hawana akili timamu?
 
Yaani huyu nae ety anasema Ana akili timamu??? Duuuuuuuuh
 
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…