Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

mkuu punguza makasiriko, tafuta pesa, hujalazimishwa na mtu kuchanga, anaeamua ni mwenyepesa, sio wewe utupangie tusichange, no.
 
UMUGHAKA umekwenda kumchukua umukungu wako huko Kibumayi ache kukusaitia kutengeneza tengeneza ubusara na kukupikia kirerema & kitinya hapo Bhunju eti tatah mutimbaru
Tatoo vocab ya ndani ndani sana tatamuraπŸ€©πŸ€“ kirerema&kitinya noma sana kikiwa mixed na steki/kemoro pembeni mtindi fresh kabisa amang'ana amachomu tata mtimbaruuu sokoro UMUGHAKA
 
Maisha ni mapambano.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tanzania kila mtu anajiona great thinker kisa ana account jf! Eti lete story nasubiri! Yani alete kwa amri yako? Ushamuona mwizi sasa unamfatilia wa nini? What do you see in yourself?
 
"Wamejenga kwa sababu ya bodaboda" huu msemo wa hovyo sana.
 
Bodaboda "Wamejenga kwa sababu ya bodaboda" huu msemo wa hovyo sana.
Msemo wa hovyo ila ndio ukweli huo. Bodaboda ni kazi kama ilivyo uhasibu, na kazi nyingine na inawapa ridhiki kama wenye kazi zingine pia. Sema tuu watu wachache wanaipa sifa mbaya kazi.

Mimi baada ya kuwa nao karibu nikabadili kabisa fikra zangu kuhusu bodaboda mwanzo nilikuwa nawaweka kwenye kundi fulani ambalo lipo chini ila kuna watu wanaheshimika na wana familia zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi sifungui tena mpaka wiki 2 zipite najua nao utakua umeisha, hii arosto inatesa sana
 

Hajawah omba popote pesa
 
Sio vizuri kuwaita watu majobless sababu kazi ni majaaliwa. Hata wewe ulienakazi leo unaweza kuipoteza kesho na ukala msoto heavy. Ambao tulishakuaga in,out,in,out,in kwenye kazi tunaelewa
 
Ulivyokuwa mzembe mpaka mida huu wazo la kuchoma pesa feki (ushahidi hata ukikamatwa) moto huna.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duu mvuvi tena ?
 
Daaah,[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…