Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌Mademu wa JF wanapenda umbea Sana +shobo UMUGHAKA yeye hapendi shobo na KE so KE wa Jf nendeni mlale mkumbatie mito
Huna jeuri hiyo Mkuu. Uende urudi next week? Huwezi hiyoNdo nafikiria nipotee. Nirudi wiki ijayo.
Ila kama vile jamaa kasepa🤣
Why not?Huna jeuri hiyo Mkuu. Uende urudi next week? Huwezi hiyo
Utani ndo unachukulia serious? Take it easyAlishasema hashobokei vitobo kabisa japo ana tobo lake kiwango cha kimataifa🤠!! !!
Na pale aliposema yule boss wa majambaz alikuwa askari mpelelezi na chini akakanusha kuwa hakuwa askariNINA WASIWASI KAMA JAMAA ATARUDI TENA KUMALIZIA.
1. TRUE STORY INAVYOENDA NA KUGUSA VYOMBO VYA DOLA HAIKAWII KUZUIWA. NAKUMBUKA KULE RADIO FREE KUNA KIPINDI CHA "SITASAHAU" KINARUKA KILA JUMAPILI SAA NNE ASUBUHI, KUNA JAMAA ALIKUWA ANAELEZEA STORY YA KWELI ALIVYOKUWA JAMBAZI WAKITEKA MAGARI KATIKA MAPORI HUKO NGARA ILIPOFIKA HATUA TAMU KAMA HII MAMLAKA ZA JUU ZIKAIPIGA BAN.
2. JAMAA ANAZUGA NI BODABODA. KWA HUU MWANDIKO WAKE NA MTIRIRIKO ANAOANDIKA INAONEKANA KABISA JAMAA NI MTU ALIYETULIA NA AKILI TIMAMU SANA. HII KUJIITA NI BODA BODA NI KICHAKA TU KAJIFICHA.View attachment 2404371
Mi mwenyewe natania mbona tunasogeza masaa tu hapa tuone kama Umughaka atatokea pande hiiUtani ndo unachukulia serious? Take it easy
Maskani yake ni Bunju.Oyi mlio leta ishu ta kutaka kumuungia Mwamba za mafuta ( kumchangia tuelekezi Mchizi yupo chimbo gani..haya mambo ndio maana wana wana Hustle kibao wanashindwa kushea sababu ya wadwanzi flani flani.
We msela mbona unashobo sana na Jamaa, mda wote kujichekesha chekesha, acha shobo utapigwa mbupuSafi sna UMUGHAKA naomba uje mida ya saa mbili HV 2:00 za usku itakuwa POA ukiwa umesha andaa mikeka yako kikamilifu na leo ni siku yako utatoboa Hakika, mkeka hautachanika leo ,,,.....pokeaaaaaaaaa[emoji3][emoji3]
We ndo kiazi kikuu.kwani hizo silaha umesikia wp hapo kwamba wameshaanza kutumia!?STORY KIUKWELI MIMI NIMEITUNGA.
HALFU KWA KUZINGATIA USALAMA WANGU KUNA TUKIO LISHAWAHI KUTOKEA ARUSHA LA UJAMBAZI WATU WANAWEZA KUUNGANISHA DOT.
jamani kama nyie ni wasomaji wazuri wa story jf story nyingi za kutunga huwa haziishi kama hii.
Maana ana kuwa ana muendelezo kuna jamaa alikuwaga anasimulia sijui kwenda South Africa bila ndugu walipomgutia hakuendelea.
Mpwayungu safari ya lindi iliishia njiani.
So hata na hii haitaweza kuendelea maana ina ukakasi mwingi sana.
How come jambazi akuamini na akupe million zake kwa dk moja tu na kukupeleka kazini bila mafunzo ya silaha
Mababu wa Babu zako walisurvive bila masters wala google mzee na wakafanikiwa kukulelea baba na mama yako,Akili ni kichwani kulingana na mazingira masters ni mtindo wa maisha ya kisasa tu kua na heshimaKAMA KUNA MASTERS INAENDESHA BODABODA HUYO HANA AKILI. MASTERS YAKO UKIIPELEKA KUENDESHA BODABODA UNA KARATASI LA CHUO LAKINI "HUNA AKILI"
Acha kabisa ilikua kimya kimya asee unavozidi kuisoma ndio Utamu wa story unazidi kukoleaHongera boss,....naona ulikuwa unatufukuza kimya kimya😂