Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Yaani ulikuwa boya sana. Nafasi mbili ulizichezea. Ya kwanza huyo tajiri yako alikuwa anajua sana madili. Kwanza alikuwa hawasiriani na wewe mara kwa mara. Pili alikuwa hajawahi kukuuliza uko wapi. Tatu mwanamke wake alikuwa hajawahi kukupigia. Hizo sheria zote ilitakiwa uzitii na kuzikarili, sio lazima uambiwe ndio sheria za kazi. Hivyo baada ya meanamke kukupigia tena wewe pia ulitia shaka jinsi alivyoongea na wewe. Na pili simu ya boss wako umepiga inaita tu. Na unajua mnafanya kazi isiyo halali. Hiyo ilikuwa nafasi yako ya kwanza Ku-escape
Pili umeshajiingiza mzima mzima na umejua hawa mandata. Umepewa nafasi kupita nao kitaa hujafungwa pingu na kuna mahala ulibaki wewe na mwela mmoja tu. Najiamini sana kwenye mbio. Nikimuacha mtu hatua moja tu ahesabu maumivu. Siwezagi kuvumilia niingie selo na nafasi ya Ku-escape iko mikononi mwangu
Kwa kusimulia ni rahisi sana. Ila mtanzania akiona hela akili ya kukataa huwa haipo haswa kama una shida ya hiyo hela. 2. Kuwakimbia askari wawili😂 anyways acha tusome story ila tusilete ushabiki wa kimpira mpira
 
Hapa ndo pale mtu unacheki movie ukiwa umekaza mwili mzima kuogopa kitakacho tokea... ukikumbuka msimuliaji ndo sterling unajipa moyo.... Enhee.......
Third person point of view ...tunawaita Omnicient
View attachment 2405915
Hizo ikisafishwa saa kumi na mafuta yake ikakauka vizuri, ikitoa kitu kwanza inaacha umande au moshi moshi hivi, advertise ni mguuni, kwanza mifupa inaitika, hapo mna kofia sweta zenu na makoti marefu meusi ya nailoni na pull neck ni kutamba tu uwanja wenu panatulia sana eneo husika hata kujamba mtu hawezi sana atajikojolea tu,[mention]UMUGHAKA [/mention] njoo umalizie mzee wa kazi watu tufanye shughuli zetu nyingine
Aisee Wewe Ni jambazi
 
950, 000/- each, out of 50M+ and today our UMUGHAKA is dreva bodaboda you get what I mean? Mwishoni itakuwa walidhulumiwa hawa vijana [emoji5][emoji846][emoji5][emoji846]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
DAAAH NOMA SANA LAMADI NDIO HOME KABISA! STORI YAKO NIMEIPENDA SANA KWA SABABU MAENEO ULIYOTAJA NIMEISHI,TARIME,SIRARI, DAAAH STORI TAMU SANA HII
 
Hivi kwanini baadhi ya mademu wa kaskazini kwa Asilimia kubwa wanatumika sana kwenye ujambazi/ utapeli??
Natanguliza samawani![emoji854]
Siyo Kweli ,mtu yoyote anaweza kuwa involved ktk uhalifu kutoka pande yoyote

Ila ujasiri pia upo kazikazn ujasiri Kama wa mtatiro
 
We msela mbona unashobo sana na Jamaa, mda wote kujichekesha chekesha, acha shobo utapigwa mbupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji23]

Hata mi nimeshangaa
 
Mademu wa arusha Get rich or die trying.
Madem wa sehemu zingine Be poor while watching saluni ya mama kimbo
Ni kweli kabisa! Tena hawa wa pwani ukichelewa wanapiga kelele sana,lakini wa kaskazini hata usirudi cha muhimu siku ukirudi uwe na mzigo! Sio unawahi nyumbani kugombania rimoti TV na watoto.
 
Kwa kusimulia ni rahisi sana. Ila mtanzania akiona hela akili ya kukataa huwa haipo haswa kama una shida ya hiyo hela. 2. Kuwakimbia askari wawili😂 anyways acha tusome story ila tusilete ushabiki wa kimpira mpira
Mmetekwa na mipira, kila kitu mnakiringanisha na mpira tu. Kama utaona ni ushabiki wa kimpira sawa. Ila kukua kwangu, enzi hizo kukamata uzurulaji ilikuwa imeenea sana. Group letu ilikuwa ni kujifunza tu namna ya kuwatoka mamwela. Tumewakimbia sana. Sio ushabiki tu.
 
Hivi kwanini baadhi ya mademu wa kaskazini kwa Asilimia kubwa wanatumika sana kwenye ujambazi/ utapeli??
Natanguliza samawani!🙃
Ni sijui ni kwa nn kuna mmja alivamia mpesa tatu sa mbili usiku ilipigwa risasi moja mtaa mzima vumbi tu huyo wa mpesa ilokusudiwa akuumizwa badae anakuja kusema ni dem anaongea kiarusha alikua kavaa mgoroli wa kimasai namzula na bandana nyeusi
 
Back
Top Bottom