Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema yeye Pesa zake zilikuwa zinaishia kwenye Kuvaa Nguo nzuri na mitungi. Mambo ya mademu kasema hakuwa nayoIna maaana omughaka hujawah Kula hta demu mmoja Kwa hustle zotë hizo, pmpja na pesa za madil ulizokuwa nazo..
Mboma jamaa kamla sana MonicaIna maaana omughaka hujawah Kula hta demu mmoja Kwa hustle zotë hizo, pmpja na pesa za madil ulizokuwa nazo..
Sikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
Ilikua OrientationSikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
Fanya assumption kwamba ni ya kutunga upande wako.Ungekiri kuwa ni story ya kutunga usingepungukiwa kitu
Ilikua OrientationSikuona umuhimu wa kuwabeba Umughaka na Mtatiro,naona hii show ilikuwa inamtosha JIPE tu au waliwachukua ili wazalishe kizazi kingine cha ujambazi
Huyu jamaa sio boda,huwez type story yote hii kwenye kisimu
Umesahau alivokuwa anambandua monica wake akiwa kwa baba mdogo usukumaniIna maaana omughaka hujawah Kula hta demu mmoja Kwa hustle zotë hizo, pmpja na pesa za madil ulizokuwa nazo..
Hii hadithi inaweza kuwa ya kweli tukio la wizi kwa mfanyabiashara ya dhahabu pale Kahama; na kupigwa risasi ni kama nalikumbuka
Basi bodaboda ni wewe.Huyu jamaa sio boda,huwez type story yote hii kwenye kisimu
Unajua watanzania wengine sijui akili zao zikoje kwa hiyo bododa asimiliki desktop kwa kuwa yeye anamaisha duni au vipi watu wanafikra finyu kweli aiseeBasi bodaboda ni wewe.
Kwani desktop inauzwa Bei gani Hadi bodaboda wasiwe na uwezo wa kuzimiliki?
Bodaboda kibao wanamiliki familia nini desktop?
Waswahili tuna majungu sana ndugu yangu!Unajua watanzania wengine sijui akili zao zikoje kwa hiyo bododa asimiliki desktop kwa kuwa yeye anamaisha duni au vipi watu wanafikra finyu kweli aisee