Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Watoto wa siku hizi bwana... wamezaliwa na madingi ambao ni washkaji zao enzi zile unakuta dingi mkoloni hatari unaomba akisafiri asirudi, akiwa sebuleni we unabana chumbani yaan unakwepa msionane noma sana dingi wa umughaka unaona alienda school ya umughaka kupata full mkanda kwa nn asikutembezee mbata, shukuruni madingi wenu wa leo mnapiga nao selfie....
waambie hao,mtu umeoa au umeolewa na ukirudi home kwa mshua,ukileta fyongo unachezea mbata kama kawa...
 
Back
Top Bottom