Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzima kabisaYaah kweli mzee daah miaka ya kutosha
Vip shunie mzima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ntakuwa nakushtuaHaya jamani wakuniita ita katika hii safari ya Umuu AKA baby UG ajitokeze tusipitwe.
Sema kaweka moja tuBora umenita asante.
Afadhali kuliko asingeweka 😀Sema kaweka moja tu
Na ambavyo notification ni changamoto...jamaa ananipa wakati mgumuAfadhali kuliko asingeweka [emoji3]
Hahaha mkuu,Mzima kabisa
Ulivunja mkataba na kumkimbia
Kweli kabisa, mfano mzuri The big boss is no more. (Huyu jamaa alikua mtu hatari sana katika jamii)Umughaka lazima apone kwa sababu kunguru muoga siku zote huishi miaka mingi ....
Kwenye maisha ukijikuta jasiri sana ,haraka San unamaliza mwendo ...
Jipe “ Habari shangaziJipe "wachamawe sengi"
Yule mama "Wachatata"
Jipe "Mwasibhao"
Yule "Chasibhao lata,jendeyo"
Jipe "Ni jakisi sengi"
Kumbe jipe ni mjita ha ha ha
Yupo pitaHahaha mkuu,
Kwani tulikua na mkataba na yeye? Vipi bado yupo jukwaani kwani?
Nashangaa sipati notificationsNa ambavyo notification ni changamoto...jamaa ananipa wakati mgumu
Hahaa mkuu thanx. Kule jukwaa la michezo ni kujitoa tuu ufahamu usijenichukia.Nimesoma post zako karibu zote kwenye Uzi huu,sikuwahi kujua kwamba una busara namna hii, Kalpana sikuchukulii poa tena mkuu,....umetema madini sana kujaribu kuwaelewesha watu,tulokuelewa tumeelewa na mgumu kuelewa usimlazimishe aelewe,hata mitume na manabii was Mungu hawakueleweka na jamii zao mkuu,
[emoji106]Jipe “ Habari shangazi
Yule “ salama”
Jipe” mnaendeleaje”
Yule” vizuri, za huko
Jipe “ nzuri shangazi”
Kijita hicho mkuu, kabila kutoka Musoma.. lakini kinaendana na Kikerewe na Kikara kutoka wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza
Oh !!Kumbe Jipe alikuwa mjita .Naona anasalimiana na shangazi yake kijita.Kumbe alikuwa poti wenu.Okay !!Ipo vizuri bwana mdogo .Ninakufananisha utunzi wako na mwandishi na Tajiri marehemu Msiba.Jipe anatumika kama Willy Gamba.Hongera sana mkuu,
Ya kule nimeyaacha kule kule mkuu,huku nimekuelewa times 100,......Hahaa mkuu thanx. Kule jukwaa la michezo ni kujitoa tuu ufahamu usijenichukia.
Hii story ni ya moto sana jamaa kataja hadi ninapoishi hadi watu ninaowajua, itoshe kusema this story based on true story[emoji47][emoji47]
mjibu vizuri mwenzio[emoji38][emoji38]Basi poleee mkuu