Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi nina Creativity za hali ya juu sana, waje tu, kazi5 za mwanzo nitawapa bure.Ibn Unuq kwa nini usifanye kazi na bongo movie kama unauwezo wa hali ya juu kwenywe utunzi? tukawa tunapata single za maana kabisaa au watafute BONGOHOODZ PICHAZ upige pesa kwa kuleta mapinduzi katika hii tasnia
Sawa hilo swala dogo;Nieleweshe mkuu labda kuna sehemu sijaelewa
The Town ,the Best Heist movie if all time. Ben Affleck alifanta kazi kubwa hapa akishirikiana na mwamba mmoja wanamwita Jeremy Renner.We jamaa...
View attachment 3179261
Story IMESHAGEUKA INAELEKEA KWENYE KULA TUNDA KIMASIARA... SIFUATILII TENA HUU UZI NI NUSU CHAI NUSU MAJI YA KANDOROIgawa bhana mimi nilikua na kademu pale, kalizalishwa na mhuni tu fundi ujenzi wa mbeya - infact alikatelekeza, Huyu mwanamke anaitwa Beatrice, alikua anauza mgahawa mmoja maarufu maarufu pale stand, Nilikadanganya mimi ni Mchuuzi wa mpunga, Beatrice Kama upo JF, ni P^M, I miss very Much vitu vyako 😆.
ni sehemu gani kaandika kahadithiwa ?
Umeona??Japo nimeibia ibia kidogo True Story ya jamaa yangu ametoka jela mwaka jana.
UmeelewekaSawa hilo swala dogo;
Iko hivi storyA - True story inaishia pale bro JIMMY, aliponifundisha kuendesha pikipiki.
Kuanzia hapo kurudi nyuma ni kweli na hiyo picha ni mimi kweli, hata ukitaka picha nyingine unapata.
Ila pale niliposema nikachukua chuma ya mkataba kuendelea mbele ni Fictious story, Japo nimeibia ibia kidogo True Story ya jamaa yangu ametoka jela mwaka jana.
Story imeishia niko jela, nikasema Mwisho. Nimepiga na mstari.
Maelezo yaliyofuatia nimejielezea Current situation, Real life ninayaoishi kwasasa.
Je, bado kuna sehemu hunaelewa? Mimi ni open minded pia niko very Empathetic, feel free to ask, Ila tu usinikwaze [Sipendi Matusi - such kind of stuffs].
Umesema Mimi future wifeNjoo ufanye kazi, maua bila kazi haiwezekani.
Ni kweli ila kwanini mnapotunga story kali kama hii lazima kula tunda kimasihara iwepo inamaana hamna ubunifu wowote bila kuwepo kula tunda kimasiharaEntertainment lazima kue na creativity more than real life that most people live.
Hapa ilala nyuma ya machinga complex.Running with devil
Mkuu hapo Kwanza nimeonyesha self respect, ninamaumivu hivyo no sex ,mwili inatakiwa u-heel.Ni kweli ila kwanini mnapotunga story kali kama hii lazima kula tunda kimasihara iwepo inamaana hamna ubunifu wowote bila kuwepo kula tunda kimasihara
Yani kama haitakuwepo fulu mpaka kula mbususu lakini lazima iguse iguse kama ulivyo igusia wewe kidogo.
Inamaana pona pona ya huyo Dada usiku huo ni Kwa sababu wewe ulikuwa umechoka na Hilo songombingo la usiku ila bila ya hivyo kwenye story unge kula mbususu 😁😅😂