Mkuu we tulia, nilienda mpaka kwa mganga sehemu moja inaitwa Katumba, acha tu.Nasubiri kusikia zaidi baada ya taa kutoitikiana kama ulivyozoea then ilikuwaje....... secretarybird Poor Brain Kuna kitu humu
Ni rahisi sana kwa kuwa polisi Usalama nao wamo huko huko kwenye hizo mishe.Hakya Mungu utajiuliza nani kakuchoma hutoaminiππ sema bwana jambo lolote lenye circle kudakwa lazima.
Sawa naona hutoi majibu sahihi unaruka rukaHapana, Shetani hayupo, kwenye hii stori kuna sehemu nilienda kwa mganga lakini niliishiwa kutapeliwa.
Kama ibilisi alikua anapata hadi muda wa kupiga picha, bhasi kinachofuatia kwasasa atafanya Tiktok Challenge π€£.Sawa naona hutoi majibu sahihi unaruka ruka
ila ungeiondoa hiyo picha inajengea tafsiri mbaya machoni pa watu
Binafsi nilijua wew ni ibilisi napewa likes na ibilisi naishia kukemea moyoniπ€£
Shusha nondo Mkuu, wasikukatishe tamaa, malizia hiki kisaHapana, Shetani hayupo, kwenye hii stori kuna sehemu nilienda kwa mganga lakini niliishiwa kutapeliwa.
Huu muda unaorukaruka ungeutumia kumaliza storyHiki lazima nikimalizie.
Nita ku-Mention.
UnjuuuuNaam Robertoo π
Unjuuuuu wee unjuuuuuSitumii kabisa mkuu, mimi ni Action tupu yani, maneno machache, 9sec! π€£
Shusha vitu unjuuuuu
Nimeshatia timu hapa, nakisubiri kipande kifuatacho kwa hamu na gamu.Nasubiri kusikia zaidi baada ya taa kutoitikiana kama ulivyozoea then ilikuwaje....... secretarybird Poor Brain Kuna kitu humu
Fanya hima mkuu.Sitasahau kuku-Mention mkuu. βπΏβπΏ