Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kemea, usilegezeSawa naona hutoi majibu sahihi unaruka ruka
ila ungeiondoa hiyo picha inajengea tafsiri mbaya machoni pa watu
Binafsi nilijua wew ni ibilisi napewa likes na ibilisi naishia kukemea moyoni🤣
Sawa mkuu...... Nakusubr....Mkuu we tulia, nilienda mpaka kwa mganga sehemu moja inaitwa Katumba, acha tu.
Nita kutagg.
Mkuu..... Tutie timuNimeshatia timu hapa, nakisubiri kipande kifuatacho kwa hamu na gamu.
Monetary doctor usiwaze.Sawa mkuu...... Nakusubr....
🤣🤣🤣🤣😂😂😂Kemea, usilegeze
Nimrsimamisha kazi bro kufuatilia hiki chai cha ma rapper from mbayaMonetary doctor usiwaze.
Tunawakilisha Wagumu TunadumuNimrsimamisha kazi bro kufuatilia hiki chai cha ma rapper from mbaya
Sawa braza tuko pamojaMonetary doctor usiwaze.
Mkuu ukishajijua haikupi shida, unakuja zako Jf huku, unapiga story na Fake ID people, Life goes on.Hii personal character ni kama tuko kundi Moja na Kuna kipindi ilinifanya nihisi huenda na matatizo ila at last niligundua sio tatizo japo Hadi sasa inanipa wakayi mgumu kuchangamana na watu wengine
Sio ndumu?Tunawakilisha Wagumu Tunadumu
Kweli kabisa yaani mambo ya kitoto kabisamuda wenyewe mchache huu..Siku nyingine mkuu, kama huwez andika story hadi mwisho. Iandae kwenye notes uwe una copy na paste hadi iishe