Acha tu ndugu yangu. Alivoingia JPM tulinyoka aisee. Bila huyu mwanamke ningekuwa sina hata pagale. Kuoa sometime ni baraka especially uoe mwenye akili.Enzi za JK vijana pesa walikua hawajui waweke wapi aisee.
Ulikula sana bata kijana, hujibana ujenge wala ujinga wa namna hiyo.
Hamna pisi ambayo ingechomoa kwa namna ulivyokua unatoa vibunda ni HAKUNA.
Hiyo kazi ilikua ni ndogo sana ila malipo uliyokua tayari kuyatoa ni makubwa.
dada yake c atakua mjuzi wa mambo mkuu mimi nahitaji innocent kama uyo auAmesema ana dada yake yule wa salon
hii itatufanya turudi mbalizi labda tutapata sampuli kama za mwana kungineko tutakunywa azuma tuchanganyikiwe😂 😂 😂 😂
Hatari sana Mwanangu watu wana upepo hapa duniani
...WA hivyo ni ngumu kumpata mkuu...labda jamaa akimwacha ndo umchukue huyo!!dada yake c atakua mjuzi wa mambo mkuu mimi nahitaji innocent kama uyo au
dah basi acha niendelee kushikiria cheo CHAPUTA...WA hivyo ni ngumu kumpata mkuu...labda jamaa akimwacha ndo umchukue huyo!!
"KATAA NDOA WAMEPIGWA NA KITU CHENYE NCHA KALI"Ndoa tamu, Ndoa sio Utapeli. Vijana oeni.
Mimi nishapewa mkuuKama limbwata liko hivi basi nashauri wanaume wote tupewe.
Toka nioe nimeshachepuka mara moja napo nilikuwa mbali nae, hit and run. Ila sijawahi hata fikiria kuwa na mchepuko. Huyo jamaa ake alizamia Malaysia huko na kuoa huko huko. Niko makini sana kumprotect my wife, kwa heri au kwa shari. Hata angerudi asingeweza fanya upuuzi. Najua nachosema. I love my wife so dearly.Asante kwa hadithi tamu, sasa tunasubiria part 2 ambapo. Yule boyfriend wake anaanza kumtafuta na kutaka game na wewe michepuko ya Bar imeanza kukumiss.
Achana na Mbususu za humu JF, wikiend ndo hii tukutane tukagonge 🍸 lakini sio kununua Mbususu kwa buku 3, matibabu 30K😂😂😂hii itatufanya turudi mbalizi labda tutapata sampuli kama za mwana kungineko tutakunywa azuma tuchanganyikiwe
Chai zinajulikana mbona, halafu..mbona maisha mengine hata nyie mnafungia kwenye kabati tu🤣🤣🤣🤣Sawa na sisi tutaongeza viungo kwenye chai, haiwezekani msome maisha yetu ya kwenu mfungie kwenye kabati
Mimi chai zangu ni ngumu kuzitambuaChai zinajulikana mbona, halafu..mbona maisha mengine hata nyie mnafungia kwenye kabati tu🤣🤣🤣🤣
Tatizo sipendi kuandika chai, napenda uhalisia...nikileta kitu lazima kiwe real 💯. Nyie leteni chai ila zisiwe za moto sana🤣Mimi chai zangu ni ngumu kuzitambua
😂Na wewe leta zingine fungia kabatinj
Una story ngapi mpaka sana, mbili? Zote zinaunguza🤣🤣🤣Mimi siletagi za moto sana, kwani ushawahi kuungua na chai zangu?
😂Dah! Achana na baba Cathe, ya jeshini unaunguaje?🤸Una story ngapi mpaka sana, mbili? Zote zinaunguza🤣🤣🤣
noma sana masta hahahaDAh hongera mkuu sisi tunakutana na majezebel wanakula nauli mabinti wa farao...je hana mdogo wake?