Nilivyopata shida baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu na baade kupata mtaji

Nilivyopata shida baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu na baade kupata mtaji

Asante, nimerudi kutoa feedback baada ya kukutana na Mr waziri na kunipa muongozo wa kuanza biashara ya dagaa, naendelea kupambana kwa kutumia uzoefu alio nipa mambo yanaenda
Jamii forum ni zaidi ya chuo kikuu nimepata cha kufanya.
 
Asante, nimerudi kutoa feedback baada ya kukutana na Mr waziri na kunipa muongozo wa kuanza biashara ya dagaa, naendelea kupambana kwa kutumia uzoefu alio nipa mambo yanaenda
Jamii forum ni zaidi ya chuo kikuu nimepata cha kufanya.
Pambana usiogope changamoto.
 
Thank for your inspiration story...plz Dm me ... I wish to start business .
 
nata
Asante, nimerudi kutoa feedback baada ya kukutana na Mr waziri na kunipa muongozo wa kuanza biashara ya dagaa, naendelea kupambana kwa kutumia uzoefu alio nipa mambo yanaenda
Jamii forum ni zaidi ya chuo kikuu nimepata cha kufanya.
Natamani kufanya hiyo biashara naomba msaada wako....
 
Back
Top Bottom