Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Nilikuwa chumbani kwangu mara nikamiuona mtu (kivuli chenye umbo la mtu) nikaanza kupiga kelele baba mtuu ,mzee katoka nduki hadi chumbani kwangu akauliza yuko wapi huyo mtu nikaonyesha alipo mzee wangu bila uoga akasogea hadi pale ....
Akanigeukia huku ananishanga "mtu gani si nguo hii ??? " 😆😆😆 kumbe ilikuwa nguo niliitupa kwenye baiskel sasa ikajichora umbo la mtu plus uoga nikawa naiona Kama incheza
Akanigeukia huku ananishanga "mtu gani si nguo hii ??? " 😆😆😆 kumbe ilikuwa nguo niliitupa kwenye baiskel sasa ikajichora umbo la mtu plus uoga nikawa naiona Kama incheza