Alkasuus mujaarab hiiKuna miaka nilikuwa mkoa fulani katika kupambana na maisha,nikapanga room mi na mwamba mmoja tuliyetoka nae mjini,huyu mwamba ikifika usiku mnene ananiamsha nakunionyesha watu au mtu ambaye simuoni,nikadhani anakuwa anaota,tukiamka ndio ananiambia kuwa jana usiku huyu mama wa nyumba ya jirani alikuja kutuwangia uchi,nikimuuliza kajuaje akadai ana dawa za kupaka machoni,siku moja nikamuomba kupaka zile dawa jioni alafu tukaenda kwenye harusi moja huko kijijini,nilichokiona sitasahau,watu walikuwa wanacheza ngoma uchi,mara wanatumia mafuvu kunywa pombe,kumbe zile dawa zinafanya kazi,kilichonifanya nikamatwe na kupelekwa milembe ni baada ya kuona kundi la fisi linakuja kila nikipiga kelele watu wanashangaa hao fisi wako wapi,jamaa mmoja akasema funga kamba pekeka milembe,njiani wale fisi wakadandia pick up nikazidisha kelele,kilichoniokoa ni yule mwamba kuja kufuta zile dawa machoni mwangu
Pole sana kwa maswahibu yaliyokukuta doh wangekukula mtungo jamaniππDar es
Wasingeweza hiki kichwa kinaona hata visivyo onekana sema siko serious nacho naogopa kuingia kwenye vita ya Ulimwengu wa gizaPole sana kwa maswahibu yaliyokukuta doh wangekukula mtungo jamaniππ
Ukadungwa na "shindano"?Kwa sauti ya kisukuma.Walikuonea sana.πππππππMilembe nilifika na kitanda nikapewa kabisa
Wewe nuzu!Naomba niunganishe na huyo Mwamba nataka nimuone jirani yangu live
Watakuondoa usijaribuKumbe
Duniani kuna mambo!Kuna miaka nilikuwa mkoa fulani katika kupambana na maisha, nikapanga room mi na mwamba mmoja tuliyetoka nae mjini, huyu mwamba ikifika usiku mnene ananiamsha nakunionyesha watu au mtu ambaye simuoni, nikadhani anakuwa anaota, tukiamka ndio ananiambia kuwa jana usiku huyu mama wa nyumba ya jirani alikuja kutuwangia uchi, nikimuuliza kajuaje akadai ana dawa za kupaka machoni.
Siku moja nikamuomba kupaka zile dawa jioni halafu tukaenda kwenye harusi moja huko kijijini, nilichokiona sitasahau, watu walikuwa wanacheza ngoma uchi, mara wanatumia mafuvu kunywa pombe, kumbe zile dawa zinafanya kazi, kilichonifanya nikamatwe na kupelekwa milembe ni baada ya kuona kundi la fisi linakuja kila nikipiga kelele watu wanashangaa hao fisi wako wapi?
Jamaa mmoja akasema funga kamba pekeka Milembe, njiani wale fisi wakadandia pick up nikazidisha kelele, kilichoniokoa ni yule mwamba kuja kufuta zile dawa machoni mwangu.