Baraka21 JF-Expert Member Joined Mar 15, 2021 Posts 1,262 Reaction score 3,184 Sep 29, 2021 #61 Pole sana mkuu. Ndio ukubwa huo. Kuna watu wanajifanya wasomi hawaamini uchawi ngoja yawakute. Huku kwetu wachawi wanakuchukua usiku wanakupeleka ukalime, asubuhi unaamka na matope miguuni.
Pole sana mkuu. Ndio ukubwa huo. Kuna watu wanajifanya wasomi hawaamini uchawi ngoja yawakute. Huku kwetu wachawi wanakuchukua usiku wanakupeleka ukalime, asubuhi unaamka na matope miguuni.
Cotton pamba JF-Expert Member Joined Dec 16, 2020 Posts 303 Reaction score 209 Sep 29, 2021 #62 Red Giant said: Baadaye mama zenu wakizeeka mnaanza kuwakata mapanga kuwa wachawi. Mlikuwa wapi kuwakamata uchawi wakati bado vigori? Click to expand... Bonge la comment
Red Giant said: Baadaye mama zenu wakizeeka mnaanza kuwakata mapanga kuwa wachawi. Mlikuwa wapi kuwakamata uchawi wakati bado vigori? Click to expand... Bonge la comment
careenjibebe JF-Expert Member Joined May 28, 2020 Posts 1,604 Reaction score 1,652 Sep 29, 2021 #63 Doh
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,094 Reaction score 37,314 Sep 29, 2021 #64 tamuuuuu said: Wewe nuzu! Click to expand... Teh mkuu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 29, 2021 #65 Inapendeza sana...
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 20,925 Reaction score 51,688 Sep 30, 2021 Thread starter #66 Baraka21 said: Pole sana mkuu. Ndio ukubwa huo. Kuna watu wanajifanya wasomi hawaamini uchawi ngoja yawakute. Huku kwetu wachawi wanakuchukua usiku wanakupeleka ukalime, asubuhi unaamka na matope miguuni. Click to expand... Hayajawakuta
Baraka21 said: Pole sana mkuu. Ndio ukubwa huo. Kuna watu wanajifanya wasomi hawaamini uchawi ngoja yawakute. Huku kwetu wachawi wanakuchukua usiku wanakupeleka ukalime, asubuhi unaamka na matope miguuni. Click to expand... Hayajawakuta