GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,657
- Thread starter
- #61
Thanks kwa kutustua bro.. Huyu jamaa anatumia nguvu nyingi kujenga hoja zenye missing connections. Acha tubaki wa tz tunaochelewa kuchangamkia fursa kuliko kufanywa mazuzu kiboyaboya.
Hakuna cha ajabu hapa.
Ni wewe tu unaishi kwenye FEAR.
Wewe unataka nikufundishe bure?
Unapenda sana vitu vya bure?
Mimi nipo wazi.
Ukinifuata nikupatie maarifa nitakutoza pesa [emoji383]
Unajua kwasababu gani?
Nakupatia value.
Simple.
Kama huitaji na mimi wala sikuhitaji.
Pia sijakufunga mikono.
Baada ya kusoma hapa unaweza kwenda mwenyewe kujifunza zaidi google au YouTube ili usije kwangu niku-charge pesa.
Usiwe jinga mkuu.
You sound so stupid man.
I must tell you.