Nilivyoteseka na tatizo la nguvu za kiume

Mkuu uliwazaje kumuoa mkeo pasipo hata siku mmoja kufanya naye mapenzi,kwenye hili eneo ume Skipp kidogo.maana najua ni ngumu sana sawa sasa na wewe ukijumuisha kuwa alikuwa na tatizo hill ulipataje huo ujasiri wa kwenda kuoa huku ukijua fika unatatizo?
 
Ila wanaume😂😂 mnapokua vilema wake zenu wanavumilia bila kelele ila mkishatibiwa mnawaashwa mnaenda kulala hata na mbuzi.
 
Ngapi huko mpka sasa?
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…