Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kazingua🙄Hivi ile issue mmeelewana au kakuzingua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazingua🙄Hivi ile issue mmeelewana au kakuzingua?
Hivi mtaani unamjua? shauri yako 🤣🤣😁😁😁😁
Ni suala la muda tu.
Huyo ni chakaram wa humu JF huko Kitaa ni Kunguru tu.
Kwa hiyo ni muoga Kwa jina lingine?Manyaza huwa ni dhaifu sana😂
Acha masihara? Vile vibunda mbona hata akichomoa noti 2 au 3 akakubless sio issue kabisa kwakeKazingua🙄
Muoga sana😂Kwa hiyo ni muoga Kwa jina lingine?
Asante sana Mungu akutunze sana shemeji yangu,una Moyo wa dhahabu Lamomy uko na WARIDI Kwa Nini hunukii?unanukia mi aloe vera,ujue roho ya dhahabu inaambukizwa?Acha masihara? Vile vibunda mbona hata akichomoa noti 2 au 3 akakubless sio issue kabisa kwake
Alafu nilimkumbushia kabisa hilo. Ngoja nimkumbushe na kumsisitiza tena
🤣🤣🤣Mbona mi namuonaga shabab kabisa mdogo wanguMuoga sana😂
🤣🤣🤣 Manyanza dawa zako unazotest mwenyewe zinaanza kukupa uchizi😁😁😁😁
Ni suala la muda tu.
Huyo ni chakaram wa humu JF huko Kitaa ni Kunguru tu.
Issue gani? 🤣🤣🤣Hivi ile issue mmeelewana au kakuzingua?
🤣🤣🤣 Hachelewi kushusha silaha chiniManyaza huwa ni dhaifu sana😂
🤣🤣🤣 Wote wanamkataaHuyo muongo muongo sana alafu anatongoza kila ke humu na wanamuangusha😂
Wewe subiri tu na utakuja kujiona kumbe sio mjanja ila unaigiza ni mjanja. Dawa zipi? Mbona unaishi maisha ya 90 wakati tupo 2024 sasa hivi?. Yaani una hisia negative sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Manyanza dawa zako unazotest mwenyewe zinaanza kukupa uchizi
😂😂😂 Manyanza mjinga huyo mpuuzeHivi mtaani unamjua? shauri yako 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Vile vyako mi nilipigia pic tyuu!!Acha masihara? Vile vibunda mbona hata akichomoa noti 2 au 3 akakubless sio issue kabisa kwake
Alafu nilimkumbushia kabisa hilo. Ngoja nimkumbushe na kumsisitiza tena