Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu anatakiwa anachoma ndulele Ili Moyo wa mdogo wangu Lamomy uwe mweusi na mzito awe na mkono wa birika ila naamini uwepo wako hakuna jambo linashindikanaAnafanya makusudi tu, but naamini atakubless. Hana mkono mkono mzito kabisa kwenye kutoa, nashangaa kwenye hili sijui uzito unatoka wapi
Tunakuweka sawa tu, shida unayopitia huku tunaijua na tunaionaHalafu wewe Lamomy na buzi lako Countrywide, mmenifanya mpaka Maghrib imenipita. Ni mawakala wa Shetani. Pambavuu kabisaa 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Eti buzi jina la zamaniiHalafu wewe Lamomy na buzi lako Countrywide, mmenifanya mpaka Maghrib imenipita. Ni mawakala wa Shetani. Pambavuu kabisaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Alimtamanisha Joannah kwamiburungutu ya dola 100, akamuahidi atampa hata noti 2(dola 200) na hata mm aliniambia anataka kumpa. Ila toka juzi anamzungusha tu bado hajampaWivu na roho mbaya tu. Japo sijui ni nini 🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂Alimtamanisha Joannah kwamiburungutu ya dola 100, akamuahidi atampa hata noti 2(dola 200) na hata mm aliniambia anataka kumpa. Ila toka juzi anamzungusha tu bado hajampa
Mm pia ndio nimeshangaa kwenye hili, sijui kwa nn hadi sasa anakua mzitoKuna mtu anatakiwa anachoma ndulele Ili Moyo wa mdogo wangu Lamomy uwe mweusi na mzito awe na mkono wa birika ila naamini uwepo wako hakuna jambo linashindikana
Kuna shida za kujitakia na kuna zile ambazo ni unexpected. Zako za kujitakiaHakuna mtu asiyepitia shida aisee, Kama unaziona shida zangu sijui za kwako nani anakuangalizia
Ndio hapo sasa, but naamini atatoa😂 😂 😂 😂
Mbona hapo kama mchezo wa Tom na Jerry halafu anayemtamanisha mwenzake ndio huumia. Asifanye hivyooo
Kwani Yuko wapi?mbona kapotea ghafla? mwambie aje huku kwanza ibilisi wa zamu wa weekend kaanza kunisumbua roho🙄Mm pia ndio nimeshangaa kwenye hili, sijui kwa nn hadi sasa anakua mzito
Mi nikiona unawalaumu hata sikuelewi,Hawa watu wangu wa nguvu sana in Millard Ayo voiceWameniharibia hao leo
Muda wa kurudi home huu, hapo yupo njiani kwenda home. Siku hizi boss anashinda kwa ofisi muda woteKwani Yuko wapi?mbona kapotea ghafla? mwambie aje huku kwanza ibilisi wa zamu wa weekend kaanza kunisumbua roho🙄
Shida za kujitakia zipo, tena ndio nyingiHakuna mtu anayejitakia shida Mkuu. 😂😂😂
Tulia wewe. Acha kuhoji, soma na kisha nyamaza.😀😀😀😀😀😀Saa 5 asubuhi taa imezimwa chumba kikawa giza, aah hii chai sio poa mzee
Au ulikuwa wewe?😂😂😂 sa uongo wake nini??
Lazima asimamie la si hivyo watamuibia,basi ngoja niwe na subira nimeona mambo yasiwe mengi nimeshatuma wallet number ya muamala,naringa we upo hakiaribiki kitu ndio najiandaa hapaMuda wa kurudi home huu, hapo yupo njiani kwenda home. Siku hizi boss anashinda kwa ofisi muda wote