Nilivyotongozwa na msichana Baa

Nilivyotongozwa na msichana Baa

Wenge unalo wewe na hapo upo below 28, ukija kufikisha miaka 30 utakuwaje? Joannah nilikuwa nampa formula ya kutengeneza Amarula/Zanzi. Nashangaa wewe hisia zako zimekupeleka kwenye mitishamba 🀣🀣🀣
Sasa mbona una wenge na dawa zako?? Hutaki wateja manyanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lazima asimamie la si hivyo watamuibia,basi ngoja niwe na subira nimeona mambo yasiwe mengi nimeshatuma wallet number ya muamala,naringa we upo hakiaribiki kitu ndio najiandaa hapa
Ntaongea nae naamini atabless, akizingua ntamuambia basi ntamrefund
 
🀣🀣🀣🀣Nyie watu mbona mnarushiana Tena mpira?we nipe bwana si unajua mkono unaotoa ndio unaobarikiwa? Countrywide nateswaaa mimi
Dada mimi sina pesa na sijawahi kumiliki pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapa mwenyewe nasubiria wizzy anipe pesa ya saloon lkn ananikwepa balaa.!!
Labda tumuombe boss Manyanza 🀣
 
Lamomy baba keshasema,Nitumie Airtel au Voda?
Dada huyo wizzy ni muongo, babe wake nna nywele zimefumka navaa wig linaniwasha ila najikaza na kanichunia kunipa pesa ya saloon..!! Ndo namshangaa hapa anavyotoa ruhusa ya kutumiwa pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe mtumie mwenyewe moja kwa moja atume mzigo huo ukamoke
 
Dada huyo wizzy ni muongo, babe wake nna nywele zimefumka navaa wig linaniwasha ila najikaza na kanichunia kunipa pesa ya saloon..!! Ndo namshangaa hapa anavyotoa ruhusa ya kutumiwa pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe mtumie mwenyewe moja kwa moja atume mzigo huo ukamoke
Unazuga lakini najua utambless tu
 
Back
Top Bottom