Lightysh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 434
- 1,551
Nimeacha mkuuπ€£Tulia wewe. Acha kuhoji, soma na kisha nyamaza.ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeacha mkuuπ€£Tulia wewe. Acha kuhoji, soma na kisha nyamaza.ππππππ
Msemaji wangu πππMuda wa kurudi home huu, hapo yupo njiani kwenda home. Siku hizi boss anashinda kwa ofisi muda wote
Ntaongea nae naamini atabless, akizingua ntamuambia basi ntamrefundLazima asimamie la si hivyo watamuibia,basi ngoja niwe na subira nimeona mambo yasiwe mengi nimeshatuma wallet number ya muamala,naringa we upo hakiaribiki kitu ndio najiandaa hapa
Nimerudi sisy haya nambie πKwani Yuko wapi?mbona kapotea ghafla? mwambie aje huku kwanza ibilisi wa zamu wa weekend kaanza kunisumbua rohoπ
ππ na chawa kabisa, boss kuna sehemu nimeoona una-missMsemaji wangu πππ
πππ Halafu nalipenda buzi langu hujui tuHalafu wewe Lamomy na buzi lako Countrywide, mmenifanya mpaka Maghrib imenipita. Ni mawakala wa Shetani. Pambavuu kabisaa π€£π€£π€£π€£π€£
Dada mimi sina pesa na sijawahi kumiliki pesa ππππ€£π€£π€£π€£Nyie watu mbona mnarushiana Tena mpira?we nipe bwana si unajua mkono unaotoa ndio unaobarikiwa? Countrywide nateswaaa mimi
Unaniua au sio?? πππSio vizuri lakini, sisy Joa mtu wetu sana huyu. Naomba fanya jambo ASAP, weekend iishe poa. Ni kumbless tu
Amarula mchezo π€£π€£π€£Just explain to her clearly, sio anakuwa ana manegativity ya Kienyeji πππ
Boss nakuua vp?πUnaniua au sio?? πππ
π€£π€£π€£Acha dharau basi Kwa manyanzaAmarula mchezo π€£π€£π€£
Wewe ulikuwa unampa dawa ya chango
Dada huyo wizzy ni muongo, babe wake nna nywele zimefumka navaa wig linaniwasha ila najikaza na kanichunia kunipa pesa ya saloon..!! Ndo namshangaa hapa anavyotoa ruhusa ya kutumiwa pesa πππLamomy baba keshasema,Nitumie Airtel au Voda?
Unazuga lakini najua utambless tuDada huyo wizzy ni muongo, babe wake nna nywele zimefumka navaa wig linaniwasha ila najikaza na kanichunia kunipa pesa ya saloon..!! Ndo namshangaa hapa anavyotoa ruhusa ya kutumiwa pesa πππ
Wewe mtumie mwenyewe moja kwa moja atume mzigo huo ukamoke
Huyo Boss sijui kalogwa na nani?Ngoja nisubiri labda alewe kwanza labda atalainikaBoss nakuua vp?π
Nipe tips ya kutengeneza Amarula basi π€£Wivu na roho mbaya tu. Japo sijui ni nini π€£π€£π€£
Anapenda kukuzungusha tu afurahi, but atakubless, akigoma ntamuambia namrefundHuyo Boss sijui kalogwa na nani?Ngoja nisubiri labda alewe kwanza labda atalainika