Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BV ni nini?Shida ni BV, wadada wengi sana wana hiyo shida.
Yes. Yule mwingine nliona hizo kitu. Na ni mwanamke wa tatu namkuta na hilo tatizo. Sielewi why hawanawi vizuri. Ila inakata stimu sana. Kuna wengine wasafi mpaka raha. Anytime ukiweka mkono kwenye mashine ukanusa unapata harufu nzuri ya K original.Ulitakiwa uahirisha mechi na kumuambia ukweli hapo hapo mkuu.... usijali atakuchukuliaje
Wanawake wanatunanga sana eti sisi wachafu kwao hali ni mbaya zaidi
Na huyo ni mchafu si umesema uliona 'shit particles'🤣
Mbona kama umepaniki sana? Ni hili hili au kuna jingine? Tunapowaambia hayo mambo lengo ni kuwafanya mjirekebishe wala si ugomvi.Kwahiyo unataka ushauri!!?? Aisee, hii nchi upumbavu ni mwingi. Yaani unampekenyua mqundu mwenyewe then unakuja kutulalamikia sisi!? Ulitaka ukutane na nini huko mataqoni?
Hili likoje. Hebu nipe darasa niweze msaidia.Somo la karafuu hakulipata vizuri au
Hanywi mtindi huyo
Mbona kama umepaniki sana? Ni hili hili au kuna jingine? Tunapowaambia hayo mambo lengo ni kuwafanya mjirekebishe wala si ugomvi. Tatizo lenu mnakuwa wabishi sana.Shule si zimefunguliwa, hawa wavulana watoto warudi shule haraka..!
Apo kwenye chungu unachemsha nini??Kuwa na infection kwa mwanamke ni jambo la kawaida kutokana na mabadiliko ya hormones. Mimi sioni tatizo mtu akiniambia. Ila naujua mwili wangu sana, ikotokea mabadiliko tu nachukua hatua. Mwanamke kama hajui jama ana harufu huko kwa bibi basi ana matatizo.
Na jinsi unavyotumia antibiotics ndio unazidi kupata infections maana bacteria walinzi wa ukeni wanakufa. Ni kujitahidi kutumia maziwa mtindi au probiotics supplements, au cranberryUTI wanaingiziwa sana hata ameze vipi dawa hawezipona maana ni biashara
Chungu?Apo kwenye chungu unachemsha nini??
Gubu.Hivi chanzo huwa n nini?
Labda useme hili wwe dada. Maana sometime tukisema inao ekana ni kunyanyasa. Tupo hata wanaume tunanuka mapumbuh. Tuambiane tu. Au tunanuka midomo. Halafu huo ni ugonjwa tu unatibika mtu akikuambia unamshukuru unaenda kutibu si kumchukia. Wewe upo smart hongeraKuwa na infection kwa mwanamke ni jambo la kawaida kutokana na mabadiliko ya hormones. Mimi sioni tatizo mtu akiniambia. Ila naujua mwili wangu sana, ikotokea mabadiliko tu nachukua hatua. Mwanamke kama hajui jama ana harufu huko kwa bibi basi ana matatizo.