Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Mimi kuna mmoja humu nilimuimbisha sana. Akakubali kunipa namba sasa kumpigia naogopa kukwepesha fake ID. Baada ya mwezi nikamchek akaniambia niseme natumia ID gani, nikamtajia ID ya mshikaji mmoja humu hanaga makuu. Akanikatalia hajawahi kumpa namba yake. Akaacha kupokea simu
 
Mimi kuna mmoja humu nilimuimbisha sana. Akakubali kunipa namba sasa kumpigia naogopa kukwepesha fake ID. Baada ya mwezi nikamchek akaniambia niseme natumia ID gani, nikamtajia ID ya mshikaji mmoja humu hanaga makuu. Akanikatalia hajawahi kumpa namba yake. Akaacha kupokea simu
Pole sana
 
Hapo kwenye binti alikua bikra alafu siku kadhaa hivi kama nne ukajarudia na yeye akawa anakung'ang'ania haswa usichomoe naona kabisa hii thiridiii ni tungo tata sana .

Jitahidi uwe unavaa ndoa mkuu huko uendako
 
Back
Top Bottom