Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Member since 2020 march 30
Kabla ya kuwa na hii Id mpya ya "Dudu Jeupe" nliwahi kuwa member humu ila kwa jina lengine ila niliichoka nikatengeneza hii mpya, katika maisha yangu ya humu Jf hii ni Id yangu ya tatu
 
alright alright hiki kisa kilitokea 2012 ok!

lakini we mzee inaonekana umejoin jf 2020 na navyojua huwez chat na mtu humu kama sio member, oterwise umetuletea kisa na backup account.
Kabla ya kuwa na hii Id mpya ya "Dudu Jeupe" nliwahi kuwa member humu ila kwa jina lengine ila niliichoka nikatengeneza hii mpya, katika maisha yangu ya humu Jf hii ni Id yangu ya tatu
 
Kabla ya kuwa na hii Id mpya ya "Dudu Jeupe" nliwahi kuwa member humu ila kwa jina lengine ila niliichoka nikatengeneza hii mpya, katika maisha yangu ya humu Jf hii ni Id yangu ya tatu
hapo sawa mkuu
 
Vijana mnagegeda bhana any way ni wakati wenu ...hata sisi tulipita huko
Kama nyie tumewala sana hizi chali za kishua ..
 
Yani ulipo kosea, ni pale uliposema siku ya kwanza mechi iliahirishwa,
It means hukuitoa bikra, imekua vip mlipokutana mala ya pili ukaingiza kirahis na kupiga mabao unavyojitakia ????

Hapo ndipo mwandishi umefeli
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Jf banah watu mnajipa uhusika wenyewe kwenye stori za wenzenu
 
Mkasa huu nawaletea ulitokea kipindi cha mwaka 2012 nikiwa nasoma mwaka wa pili chuoni arusha (IAA – Institute of accouncy Arusha) , nlikuwa na miaka 22

Miaka hiyo nilikuwa natumia ID nyingine humu JF, Nlikuwa mdau wa jukwaa l urembo na fasheni humu jamii forums kwa kuwa nilikuwa nafanya hizi biashara chuoni, nlikuwa nanunua shanga, hereni, bra, chupi, n.k pale stendi ya arusha nauzia kina dada wa chuoni na marafiki zao wa nje ya chuo, nilipenda sana hili jukwaa ili nijue kina dada wanataka vitu gani vya urembo, biashara hii ilinifanya niwe naingiza walau kipato cha kukidhi mahitaji madogo madogo.

Kwenye jukwaa hilo la fashen na urembo nilipata kuzoeana na binti flani kupitia maada kadha na kadha, mazoea yaliendelea na tukaanza kutumiana sana meseji kwa njia ya pm (inbox ya jamii forums), baadae kidogo nilimuomba namba akanipa, Tukawa tunaendelea kuwasiliana sana mambo ya fashen na urembo ila tukaanza kuwa marafiki na kupeana utani wa hapa na pale na kujuliana hali, kwa kipindi kama cha wiki hivi tulikuwa tunawasiliana ila hata sura yake siijui japo yeye aliweza kunijua maana nliweka picha yangu kwenye whatsapp, sikuwa na pupa ya kutaka kujua sura yake.

Basi tukiwa tunaendelea kuwasiliana, siku moja katika mazungumzo aliniambia anaishi arusha mitaa ya njiro, Nlifurahi sana maana hata chuo chetu kilikuwa njiro huku huku japo njiro ni kubwa kiasi.

Kwa shauku ya kutaka kumjua zaidi tulianza kuonana na kufahamiana zaidi, japo kwa mbinde maana kwao alikuwa harusiwi kutoka kiholela (huwa tunaita geti kali), Wiki ya kwanza nilikuwa naenda duka flani hivi karibu na kwao nazuga nakunywa pepsi, akija tunapia stori kama dakika 20 hivi anarudi kwao anazuga kanunua vocha, Baada ya kipindi hicho cha kuzuga hapo dukani nikaona huo mda na kidogo sana, Ndo nikamwambia acheki jinsi ya kuongeza muda

Basi binti akatafuta kisingizio chake anachokijua yeye ikawa tunaonana mida ambayo hatuna vipindi chuoni, ila ikifika jumamosi au jumapili ni muda wowote, Alikuwa anakuja na gari ila tulikuwa tunaonana nje ya nyumba niliyopanga kuna kasehem flani kamtulia tunapiga stori mbili tatu, kutokana na ucheshi na uchangamfu wangu aliniganda sana, kwa mara ya kwanza ndo alinipeleka jumba la cinema pale njiro complex, nlifurahi sana kucheki muvi,

Muda wote huo tulikuwa kwenye friend zone, hata geto kwangu hakuwahi kuingia.

Basi mda unavyoendabinti aliniganda sana, ila nlikuwa naogopa status yake ya kuwa wa kishua maana nilirudi kwenye lile duka tulilokuwa tunakutana nliambiwa wazazi wake wa vitengo vya juu, nikaona hapa nikicheza kiswazi naweza kujutia, maana kwao alikuwa anapendwa kweli kweli.

baada ya kama wiki hivi, kulikuwa na party ya rafki yake aliniambia twende wote nikakubali, nilikuwa na suti yangu hio nikainyosha fresh akanipitia na gari ghetto hao tukaenda party, kumbe party ilikuwa inafanyikia club D kule moshono na tulikuwa hatuzidi hata watu 20, ilikuwa ni party ya rafki yao mkubwa kidogo karudi Tanzania alienda kimasomo huko nje.

Tulikula, tukanywa juisi maana mimi na yeye tulikuwa hatunywi pombe, kwenye kufahamishana nilizuga tu sisi marafiki japo wenzake wakawa wanatutania, Muda wa kucheza ulifika nikamuomba twende ku cheza, tulianza simple zile tunacheza kwa mbali mbali, nikaanza kubambia fresh ikaenda hadi zikaja zile bluz za taratibu za kukumbatiana, , hisia zangu zilikuwa juu sana nahisi hata moyo wangu unavyodunda kwa fujo aliuhisiparty ilimalizika ukafika muda wa kusepa.

Kwenye gari hatukusemeshana kama kwa dakika 2 hivi zaidi ya kichekeana, nikamshika mkono wa kushoto huku anaendesha, safari nzima hadi gheto kwangu ili nae arudi kwao, navyoshuka tuliangaliana tena ila raundi hii nikaona nisiwe mzembe maana mtoto ashankubali ni ijasiri wangu tu bado, nlisogeza pua yangu kwenge pua yake huku nikisita sita kama kwa sekunde 5 hivi ghafla mtoto akafanya jitihada tukaanza kukiss, tulihamia siti ya nyuma nilimkiss sana shingo, nlimtekenya maskio kwa ulimi yani kila nikiingiza ulimi maskioni anasisimka kweli kweli, nikaanza kumnyonya chuchu, mtoto hajiwezi tena.

Ghafla simu ikapiga anatakiwa kwao, basi nikamwachia maneno matam na kuweka rasmi kwamba nampenda nae akawa anatania mbona nmechelewa kumwambia alikuwa anasubiri sana siku hii.

Nakumbuka baada ya kufika kwao tulichat sana whatsapp hadi saa kumi.

kesho yake ilikuwa jumamosi, nilijua tu leo iwe isiwe lazima tumalize tulichokiwasha jana, nlisafisha sana geto, mama wa nyumba akawa anantania mbona nafanya sana usafi leo una mgeni wako nani 😂😂, alikuwa maza moja poa sana inaonekana ujanani hakupitwa.

Basi mida ya saa kumi jioni, manzi akaja ila leo hakuja na gari, nilimwingizia kupitia geti la nyuma kuzuia utani wa yule maza, hio siku nilienda mjini kununua zile hambaga, tukala fresh, tukaimgia chumbani. Tukakiss sana tu, nlikuwa napenda sana kumnyonya shingo pale karibu na begani yani alikuwa ndo weak spot, nikaanza kimnyonya chuchu, hii hali ilikuwa kama dakika kumi, nikawasha sub woofer maana mechi ndo inakaribia.

Inchi zangu sita zilikuwa zinaelea angani mithiri ya mnara wa 4g, nikamvalisha askari helmet,tuanze shughuli kumbe binti ni bikra, nikatoa helmet na kujipa matumaini huyu yupo salama, nakumbuka ilikuwa shughuli pevu sana, alitaka kuniponyoka ila nilimkamata kwa nguvu sana nilimweka kitambaa mdomoni kuzuia kekele nyingim baada ya kukuru kakara nikawa nazamisha kidogo kidogo hadi yote, haikuwa shughuli nyepesi, kwa hali ile ilibidi tu arudi kwao huku akiugulia maumivu mechi ikaahirishwa.

Kesho yake hakuja, keshokutwa kimya ila jumanne akaja, Raundi hii yeye ndio alionesha juhudi ya kutaka mfikicho, Mzee baba nakumbuka goli la kwanza nlipiga t*ko za fasta zile kama sungura sikuchukua hata dakika 6 maana mtoto vile vilio vyake na ngozi yake nyeupe na laini vilinifanya niwa kama gegedu, sikuwa nimevaa condom nilipanga kwamba nikikaribia kupizi inabidi nimwage pembeni, Kiukweli nlichopanga kilikuwa kigumu sana, yani navyokaribia kumwaga mtoto akawa amenikumbatia haswaa hataki nichmoke na huko kunako makutano nilihisi joto na kwa kua mashine ilikuwa imebanwa kisawasawa na njia yake ndogo nlijikuta napiga kelele kama punda, yani ilibaki kidogo sana nimwage ndani, sekunde chache kabla sijamwaga nikajinasua nikashika bomba ili nimwagie pembeni, Nikimwaga upwilo wa kutosha kwenye kanga aliyokuja nayo huku natetemeka nikiwa nimefunga macho naskilizia utam wa jinsi huyo binti nilichomfanya hadi nipizi, nlimuacha mdomo wazi wakati namwaga upwilo nahisi ilikuwa mara yake ya kwanza kuuona uji mweupe kwa macho yake unamtoka nyoka.

tukaja cha pili hapa nilimweka juu aendeshe farasi ila nikaona hawezi kitu (gogo) basi akiwa juu ivyo ivyo nilimkumbatia huku namkiss na askari akiendelea kazi yake ya kula tunda, cha pili tulienda kama dakika 40 ivi, mtoto alitoa maji nakumbuka shuka lililoa chapa chapa, nilifanya kwa hisia kubwa sana, kuna kilio nilikuwa nakipenda sana nikianza kumpeleka fasta akianza kutoa hicho kilio napandwa na midadi ile mbaya, basi mtoto nampeleka fasta nikiona nakaribia kileleni narudi mwendo wa kawa alafu narudi mwendo kasi, ivyo ivyo mpaka nikalipua la pili, nlikuwa napenda sana anavyonishangaa ninapomptoa nyoka ili atapikie uji nje.

Tulpumzika kidogo nikamwambia amchezee askari, awe anamgusa gusa, basi ndo nikawa namfundisha kwa vitendo kwamba hiki kichwa, huu mpini, hivi vitenesi, n.k tukiwa tunaendelea hivi nikiwa nimelala chali, askari alianza kuwa mgumu, mwisho akawa 4g upya, nilimlaza chini kifo cha m*ende, mda huu sikuwa na pupa, ikawa namchakata huku tunaendelea kupeana maneno matamu, hali iliendelea hadi game ilipokolea, chuch* zake zilikuwa zimetuna mno, nikamweka achume tembele huku mimi nimepiga magoti, aisee kwa zile t*ko nilizopiga nahisi ilibaki kidogo tu mtoto wa watu ajigonge kwenye ukuta, ilikuwa n mwendo wa ta ta ta ta , uzuri nliweka mziki, nlimkatia uno moja matata sana, akakojoa kwa mara ya pili huku miguu yake ikiwa inatetemeka hakuna mfano, alivyomaliza nilitumbukiza nikpiga za fasta fasta, waaaah wazungu wakatoka kwa mara ya tatu, hapa kiukweli nilikuwa nmchoka mnoooo, i was exhausted, nlihema sana huku mwili ukiwa na jasho.

Baada ya hapo niliweka heater kwenge ndoo ya maji yakawa yamoto, nikapasha tena ndoo nyingine, tukaingia kuoga, ule utelezi wa sabuni na kushikana shikana, akaanza kuniosha askari ghafla nikawa nimedinda, nikamwambia anipigishe n***, alikuwa hajui nikamfundisba awe anavuta mbele na nyuma, hakuweza vizuri nikamwambia siku nyingine.

Penzi lilinoga mno, nakumbuka nilipata sehemu ya kufanya field mkoa naotoka TRA ila nilipiga chini nikabaki huko huko Arusha kwenye htaasisi za halmashauri hizi hatulipwi chochote, ila uzuzri ni kwamba huyu binti alikuwa ananipenda sana, hizi elf 20 au 30 kanisaidia sana,

mwezi wa 10 akaondoka akaenda masomoni huko nje, tulikuwa tunachat sana ila ndo hivyo mawasiliano yakaanza kupotea taratibu , mimi huku nikapata girlfriend mpya na huko alipata boyfriend.

Nakumbuka sana hili penzi la ujanani, Kitu true love yani hadi unahisi akili inahama,

Huu uzi nimeuandika baada ya hivi karibuni ku reconnect na huyu binti, na hata navyoandika hapa kwa hii ID yangu mpya ya Dudu Jeupe hakika akiisoma atajua yeye ndo nimemzungumzia, nimeweka hii ili tu uwe ukumbusho kwake jinsi ninavyo appreciate love aliyonipa, Kwa sasa tunaongea ila imekuwa kipindi kirefu tangu tuonane face to face, Yote kwa yote mimi nina familia nae nimefurahi kaolewa na wana mtoto, Maisha yanaendelea.

Ni hayo tu, Leo nmefanya flash back kidogo ya ujana.
Na hivi ndivyo viwanda tulivyonavyo mheshimiwa raisi, tunajivunia kweri.
 
Back
Top Bottom