Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Hebu nikumbushe yeye alikuwa anatumia ID gani kweli
 
alright alright hiki kisa kilitokea 2012 ok!

lakini we mzee inaonekana umejoin jf 2020 na navyojua huwez chat na mtu humu kama sio member, oterwise umetuletea kisa na backup account.

Soma uelewe
 
Wewe kawaida yako...Wai chap Bafuni kasabuni nshakuwekea..
πŸ˜‚πŸ˜‚ Unankumbusha rafiki yangu flani alikuwa mdau sana wa hivi vitu, yani tangu aingie chuo hadi anamaliza hakuwai kupata dem wa kuchakata, siku tunapomaliza chuo nakumbuka ilibidi nimsaidie kumtaftia demu alikuwa anauza duka flani ivi alikuwa anamwelewa sana jamaa ila jamaa alikuwa mzito, jamaa ndo ikawa mara ya kwanza kumjua mwanamke alikuwa ana miaka 24
 
Mkuu unataka kupasha viporo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…