Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Kua na mbuzi wanaokaa mjini kwa kula na kulala bure kwa mashemeji zenu siku bwashee atarudi kwenu kukutolea mahari, yaani akili hizi sio za mtu anaeamka asubuhi kusaka bali analishwa
 
Acha upumbavu wako weweee
Ingawa ni topic ya kijinga but huu ndio Ukweli. Urais ni wa Islam na Catholic tu.
Islam ni kwa ajili ya kuonyesha kuwa nao wanakumbukwa but still Rais anakuwa loyal kwa Vatican atake asitake.
So Lutheran na wengine sisi tutulie tu.
 
Hivi mods mmelala wapi mnaacha saver ijae kwa huu upuuzi wa huyu bwana kondoo
 
Acheni ubaguzi wa kidini. Kila mtu mwenye sifa za kuwa rais au Mamamu wa Rais au uongozi wowote anaruhusiwa kugombea na kuchaguliwa
 

Naheshimu ulichoandika ila mtazamo wako Uko kina dhehebu zaidi kwamba vingi vilivyitokea duniani vilikuwa ni kama vita ya Bill Gate na Tesla.... not kama they are enemies but I can be a little smarter than you.

Jesuits ni taasisi ya kishetani so as the catholic church and Vatican... makanisa yote makubwa duniani pamoja na ile imani kubwa yako kwa Lucifer....

Ningependa nipate opinion yako ama connections yako kwa Vatican na taasisi za Ki shetani kama the Commitee of 300, Catholic Church, US, UN, Bill Gate, Communist China & North Korea, Kabbalah, Big tech na Kina Soros, Deep state etc

Isiwe na RC ni powerful or not koz they are all under Lucifer.
 
Kennedy aliuliwa Marekani kutaka kuleta uhusiano wake na Papa kwa kuwa alikuwa Catholics..wajuba wakamwambia hatuabudu sanamu wakamuuwa ...

Aliuawa kwakuwa alikuwa ana mpango wa kumuua Castro the communist/satanist.

US haiko kwa huo utakatifu unaouwaza.... na US iko chini ya Queen na Vatican.....

President anaweza asiwe mkatoliki lakini CIA lazima mseminari na Hata uwe dhehebu gani utafaa ukiwa member wa group fulani la wajenzihuru....

US halitaweza kumkataa Papa... the only one tried ni Trump na Vatican wakamtoa...iko video ya Vatican nenda kwa vortex channel wanajadili DT is dangerous kwa plans zao za corona na vaccines... Soros na media na Dominion Voting did removed him...
 
Duhhh Nafikiri weye unawajua wazi wazi Marehemu Ustadhi Ilunga alisema wazi wazi Mfumo Kristo hilo jambo lipo na litaendelea kuwepo mpaka paleee vipofu watakapo amua kuona nafikiri umenielewa hapo ndio maana nchi hii ukitaka upate tabu basi anza kuwamsha watu kwa kusema nchi mfumo kristo hawatakuacha hata cku moja au utapotezwa dakika tu .Mossad na hao wengine wanawatumia sana Mapadre tena wakuleteeni mfano wa watu kama nyie mukajua wenzenu weee c mchezo kumbe mwenzako ana satalite zote katika room yake.
 
mimi sio mkatoliki, ila naamini pamoja na kwamba wakristo wa kikatoliki ndio wengi zaidi tz, lakini katoliki wapo liberal zaidi. kwenye makanisa yetu sisi tupo very conservative and we don't compromise. imagine kwamfano Gwajima angekuwa Rais....au makamu wa rais. kuna umuhimu wa kutenganisha mambo ya church na serikali, ukubaliane na wote unaowatawala hata kama sio wa imani yako, na wakatoliki wapo vizuri kwenye kucompromise vitu wasivyokubaliana navyo.

the same applies kwa dini zingine, chukulia mfano siku tuwe na rais au makamu wa wale wavaa vinjiwa na kakofia ka mviringo.
 
.
 
Kua na mbuzi wanaokaa mjini kwa kula na kulala bure kwa mashemeji zenu siku bwashee atarudi kwenu kukutolea mahari, yaani akili hizi sio za mtu anaeamka asubuhi kusaka bali analishwa

Huna IQ ya Kuelewa huu Uzi hivyo tulia.
 
Kwa Siri hao ndo wenyewe
 
Uliopo katika Koo zako zote Mbili ni congenital au acquired? Tunasubiria Mrejesho wako upesi.
Weka akiba ya maneno siku akija mkristo wa madhehebu mengine kwa nafac mbili za juu usije badilisha maneno yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…