SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Mkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege
Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM
Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana
Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji
Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo
Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?
Pale kuna siri na historia nzito
Unamfaham Michael Angelo?
Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya
Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana
Unamfaham Raphael? Nenda Vatican
Watu walichora na kuchonga kwa 3D
Unajua waliosababisha kiswahili kikue?
Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale
Unafahamu Galileo alipata nini?
Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza
Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa
Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu
Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni
Wacha wabishe ila ukweli umeusema na umekua mchungu kwa wakatoliki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]