Niliwahi kwenda kwa mganga kuomba dawa ya biashara haikusaidia, ikanipa mvuto wa wanawake. Niliwachakata mpaka nikafilisika

Niliwahi kwenda kwa mganga kuomba dawa ya biashara haikusaidia, ikanipa mvuto wa wanawake. Niliwachakata mpaka nikafilisika

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Miaka ya nyuma nilikuwa na biashara yangu ikawa inapata ugumu wa ushindani.

Mjinga mmoja akaniambia twende Handeni lwa babu ukaiboost. Nilichoamini sasa, hawa mawitch doctor nao wana areas of specialization kama MD walivyo, kunaambao wamebobea kwenye dawa za kufuta kesi, dawa za mapenzi, biashara nk

Huyu wa kwagu nadhani alikuwa specialist wa dawa za mapenzi.

Tunguli zikapigwa pale kuku akachinjwa nikapewa dawa za kuoga na kufisha zingine za kufukia eneo la biashara

Kichokujw kutokea, wateja hawakuongezeka ila sasa wanawake walikuwa wakiha sana ofisini kujizongozesha. Ofisi ikageuka danguro, nilitembeza moto hatari mpaka nikafirisika.

Nilivyomfuata mganga akaniambia dawa ilikuwa sawa ola nilitakiwa kubadili biashara niuze bidhaa kwa ajili ya wanawake na sio hizo spea za pikipiki, maana wale wanawake wangekuta bidhaa zinazowahusu wangenunua na kama ningeacha umalayer ningefanikiwa.

Basi ikawa haina maana duka likafa ila nilichakata sana pisi, simlaumu sana mganga yule, umalayer uliniponza
 
Ilinitokea 2019. Yule mama alichanja dawa zenye mchanganyiko na asali.

Biashara haikuwa na tofauti na mwanzo ila wanawake niliwala sana. Ila wa kwangu aliniambia kabisa kuwa nisiwaendekeze wanawake maana hizo dawa zitanipa mvuto kwa wanawake. Huyo mganga alikuwa mwanamke pia. Nilitoa 100,000/ na shuka yangu ikabaki huko ma**na zake yule mama.
Baada ya kuona nimeliwa lako 1 lakini wateja hawajaongezeka kama nilivyotegemea ikabidi niingie chimbo kusaka dawa ya kuvuta wateja.

Nilifanikiwa Kujua 1 ambyo inanisaidia sana hadi SASA. Juzi Kati kuna member nilimpa ofa ya hiyo SAYANSI- nikamwita inbox, sijui alihisi nataka kumtapeli akalala mbele. Nilichojifunza USITOE USHAURI AU MSAADA KAMA HUJAOMBWA KUFANYA HIVYO.

NITAKUFA NAYO.
 
Ilinitokea 2019. Yule mama alichanja dawa zenye mchanganyiko na asali.

Biashara haikuwa na tofauti na mwanzo ila wanawake niliwala sana. Ila wa kwangu aliniambia kabisa kuwa nisiwaendekeze wanawake maana hizo dawa zitanipa mvuto kwa wanawake. Huyo mganga alikuwa mwanamke pia. Nilitoa 100,000/ na shuka yangu ikabaki huko ma**na zake yule mama.
Baada ya kuona nimeliwa lako 1 lakini wateja hawajaongezeka kama nilivyotegemea ikabidi niingie chimbo kusaka dawa ya kuvuta wateja.

Nilifanikiwa Kujua 1 ambyo inanisaidia sana hadi SASA. Juzi Kati kuna member nilimpa ofa ya hiyo SAYANSI- nikamwita inbox, sijui alihisi nataka kumtapeli akalala mbele. Nilichojifunza USITOE USHAURI AU MSAADA KAMA HUJAOMBWA KUFANYA HIVYO.

NITAKUFA NAYO.
kama ulitaka kusaidia ungeiweka hapa ila kwa inbox inaleta viashiria vya upigaji.
 
Ukishaanza mambo za kwenda kwa waganga unageuka kuwa mshirikina. Unashibdwaje kumuomba Mungu akusaidie mpaka unaamua kwenda kwenye tunguli? Wote wanaoenda kwenye tunguli mwisho wao unakua mbaya.
 
Ilinitokea 2019. Yule mama alichanja dawa zenye mchanganyiko na asali.

Biashara haikuwa na tofauti na mwanzo ila wanawake niliwala sana. Ila wa kwangu aliniambia kabisa kuwa nisiwaendekeze wanawake maana hizo dawa zitanipa mvuto kwa wanawake. Huyo mganga alikuwa mwanamke pia. Nilitoa 100,000/ na shuka yangu ikabaki huko ma**na zake yule mama.
Baada ya kuona nimeliwa lako 1 lakini wateja hawajaongezeka kama nilivyotegemea ikabidi niingie chimbo kusaka dawa ya kuvuta wateja.

Nilifanikiwa Kujua 1 ambyo inanisaidia sana hadi SASA. Juzi Kati kuna member nilimpa ofa ya hiyo SAYANSI- nikamwita inbox, sijui alihisi nataka kumtapeli akalala mbele. Nilichojifunza USITOE USHAURI AU MSAADA KAMA HUJAOMBWA KUFANYA HIVYO.

NITAKUFA NAYO.
Du wasaidie watu
 
Ilinitokea 2019. Yule mama alichanja dawa zenye mchanganyiko na asali.

Biashara haikuwa na tofauti na mwanzo ila wanawake niliwala sana. Ila wa kwangu aliniambia kabisa kuwa nisiwaendekeze wanawake maana hizo dawa zitanipa mvuto kwa wanawake. Huyo mganga alikuwa mwanamke pia. Nilitoa 100,000/ na shuka yangu ikabaki huko ma**na zake yule mama.
Baada ya kuona nimeliwa lako 1 lakini wateja hawajaongezeka kama nilivyotegemea ikabidi niingie chimbo kusaka dawa ya kuvuta wateja.

Nilifanikiwa Kujua 1 ambyo inanisaidia sana hadi SASA. Juzi Kati kuna member nilimpa ofa ya hiyo SAYANSI- nikamwita inbox, sijui alihisi nataka kumtapeli akalala mbele. Nilichojifunza USITOE USHAURI AU MSAADA KAMA HUJAOMBWA KUFANYA HIVYO.

NITAKUFA NAYO.
Tangazo umelipia?
 
NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, unganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.

Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.

Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).

Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako. Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.

Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.

Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.

MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
Mizimu na maendeleo au utajiri wapi na wapi.
Mizimu haiwezi kukupa utajiri hofu ukipata maendeleo,utaacha matambiko.
 
Haya mawazo ya waganga ndio udumaza wengi sana kutoendelea. Wenzetu waliamua kuwaua wachawi na waganga wote kwenye Jamii zao ndipo wakapata kizazi chenye uwezo wa akili ya kujisimamia wenyewe na sio kutegemea akili bandia yaani kutegemea akili ya mganga.
 
Haya mawazo ya waganga ndio udumaza wengi sana kutoendelea. Wenzetu waliamua kuwaua wachawi na waganga wote kwenye Jamii zao ndipo wakapata kizazi chenye uwezo wa akili ya kujisimamia wenyewe na sio kutegemea akili bandia yaani kutegemea akili ya mganga.
Unadanganywa hujasoma renaissance era vyema asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini

Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto
 
Unadanganywa hujasoma renaissance era vyema asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini

Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto
Mbona waafrika ni masikini pamoja na uganga
 
Miaka ya nyuma nilikuwa na biashara yangu ikawa inapata ugumu wa ushindani.

Mjinga mmoja akaniambia twende Handeni lwa babu ukaiboost. Nilichoamini sasa, hawa mawitch doctor nao wana areas of specialization kama MD walivyo, kunaambao wamebobea kwenye dawa za kufuta kesi, dawa za mapenzi, biashara nk

Huyu wa kwagu nadhani alikuwa specialist wa dawa za mapenzi.

Tunguli zikapigwa pale kuku akachinjwa nikapewa dawa za kuoga na kufisha zingine za kufukia eneo la biashara

Kichokujw kutokea, wateja hawakuongezeka ila sasa wanawake walikuwa wakiha sana ofisini kujizongozesha. Ofisi ikageuka danguro, nilitembeza moto hatari mpaka nikafirisika.

Nilivyomfuata mganga akaniambia dawa ilikuwa sawa ola nilitakiwa kubadili biashara niuze bidhaa kwa ajili ya wanawake na sio hizo spea za pikipiki, maana wale wanawake wangekuta bidhaa zinazowahusu wangenunua na kama ningeacha umalayer ningefanikiwa.

Basi ikawa haina maana duka likafa ila nilichakata sana pisi, simlaumu sana mganga yule, umalayer uliniponza
Dawa zako hazikuwavuta hata kidogo,bali bidhaa na fedha za biashara yako ndo ziliwavuta na malengo yao yalitimia huku ya kwako yakikwama.

Kumbe mpaka sasa ulikuwa hujajua tu!
 
Back
Top Bottom