Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Peleka haya mauzajza yako huko Facebook tafadhalimzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243
Umejuaje ni magaidi,hizi vita jua mzizi kwanza afu tambua chanzo cha silaha na malengo ya wafadhiri kwanzamama wa shoka na serikali makini haigopi magaidi siku zote tumekua tukiwakomboa na kuwapatia uhuru mataifa mengi toka enzi za mabeberu
Hii misemo imepitwa na wakati.Wanajeshi kufa vitani (walinda amani ama wapiganaji) ni jambo la kawaida
DRC mnamkomboa nani? Zaidi ya kuwaasiadia intarahamwe warudi Rwanda.mama wa shoka na serikali makini haigopi magaidi siku zote tumekua tukiwakomboa na kuwapatia uhuru mataifa mengi toka enzi za mabeberu
Acha uongo, wakati M23 wanalalamika JWTZ imewashambulia mlifurahia, ila baada ya kutunguliwa mmeanza kuhamisha magoli. Viva M23 lindeni ardhi yenu dhidi ya Intarahamwe.Tatizo ni kanuni ya kulinda amani hairuhusu kupigana. Vikosi vya SADC vingeruhusiwa kupiga hao namba M siku nyingi tungeishawasahau kwa kichapo ambacho wangekipata
Kadanganye chawa wenzako.Ila yote kwa yote wale M23 wamekufa kama kumbikumbi zile BM zimewapukutisha sana, kwenye mapigano kupoteza askari ni kawaida, M23 wapepukutika na wataendelea, bana Mukongo hoyee.
M23 sio wanyarwanda uwe mwelewa. Vita inapoganiwa DRC. Halafu mwaka 1996 jina Banyamulenge lilikuwa maarufu Tanzania, hebu kafanye utafiti kwanini.Nawe mpumba pia, ila mmekufa wengi sana kule, BM zinawamaliza, hebu waulize wanywaranda wenzako.
Utafurishwa wewe.We Genta mtu wa ajabu kweli kwani askari kufa kwenye mission ajabu,soon hao unaowaona wababe mbona mwaka na ushee wako Bunagana? Sake na Goma hawajaikamata.Soon watafurushwa tuu.
Vikosi vya SADCMIDRC sasa vina mandate ya kufanya mapigano Kamili, hawa sio waangalizi bali ni vikosi vinavyopaswa kumfuata adui na kumuangamiza. Ni tofauti na mandate waliokuwa nayo EACMIDRC....Kanuni ni moja tu, Mwinda huwindwa.Tatizo ni kanuni ya kulinda amani hairuhusu kupigana. Vikosi vya SADC vingeruhusiwa kupiga hao namba M siku nyingi tungeishawasahau kwa kichapo ambacho wangekipata
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0682022727. WAtoto wa mjini haoLakini si tunaskia wao hawaendo front Bali wanakaa nyuma tu kwenye mizinga
Peleka haya mauzajza yako huko Facebook tafadhali
Coded againNa baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Sasa wanajeshi kuviziwa na kurushiwa RPG ni kitu cha ajabu vitani???Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Kwahiyo mkuu....na sisi tuliopo kivu tukikuambia kua wanyarwanda wa M23 wanakufa sana utakataa???Wadanganye Wapumbavu wenzako. Nendeni Kesho pale Uwanjani Kwao Kiwalani mkapokee Boksi zao zingine 9 sawa?
Hapo nakataa mkuu.DRC mnamkomboa nani? Zaidi ya kuwaasiadia intarahamwe warudi Rwanda.
Yeah mwinda huwindwa......wameviziwa wametipiwa RPG ZA KUTOSHAVikosi vya SADCMIDRC sasa vina mandate ya kufanya mapigano Kamili, hawa sio waangalizi bali ni vikosi vinavyopaswa kumfuata adui na kumuangamiza. Ni tofauti na mandate waliokuwa nayo EACMIDRC....Kanuni ni moja tu, Mwinda huwindwa.
Hapo ndio mimi nawakataa wajomba zangu wanyarwanda......YAANI SASA HIVI KILA MUHUTU NI INTAREHAMWE HATA KAMA KAZALIWA KUANZIA MWAKA 1994.Acha uongo, wakati M23 wanalalamika JWTZ imewashambulia mlifurahia, ila baada ya kutunguliwa mmeanza kuhamisha magoli. Viva M23 lindeni ardhi yenu dhidi ya Intarahamwe.
Siku vizazi vya wakimbizi wahutu wa kinyarwanda wakirudi rwanda na kuishi kwa amani yoote haya yataisha.Hongera M23 msikubali ujinga wa SADC. Ardhi ni ya kwenu kwanini mfukuzwe. Banyamulenge ni wacongo kwanini wafukuzwe kwenye ardhi yao kisa Wana asili ya kitusi. Very stupid SADC