Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

Hongera M23 msikubali ujinga wa SADC. Ardhi ni ya kwenu kwanini mfukuzwe. Banyamulenge ni wacongo kwanini wafukuzwe kwenye ardhi yao kisa Wana asili ya kitusi. Very stupid SADC
Another option ni kureview mpaka wa DRC na Rwanda na kurudisha mpaka uliokuwepo miaka 200 iliyopita kabla ya kuja kwa wakoloni. Likifanyika hilo vita itakuwa historia. Wazungu waligawa hivyo walivyogawa kuweka ugomvi na vita ili wauze silaha. By the way inabidi tuwe na viwanda vyetu vya silaha ili kuondoa utegemezi kwa wazungu ambao Wana interest na kuanzisha vita Afrika
 
Another option ni kureview mpaka wa DRC na Rwanda na kurudisha mpaka uliokuwepo miaka 200 iliyopita kabla ya kuja kwa wakoloni. Likifanyika hilo vita itakuwa historia. Wazungu waligawa hivyo walivyogawa kuweka ugomvi na vita ili wauze silaha. By the way inabidi tuwe na viwanda vyetu vya silaha ili kuondoa utegemezi kwa wazungu ambao Wana interest na kuanzisha vita Afrika
Yaani mzungu ategemee soko la Silaha afrika,Afrika sio wanunuzi wakubwa wa viwanda vya silaha Ulaya.
Pia kwann sisi tusikatae kuwa soko.
Maana wapumbavu wasio na akili ndio upigana,mbona hao wazungu wao hawapigani hovyo kama ng'ombe
 
Hizo kazi za laana Sana unakufa unapambania maslahi ya mwanasiasa hizo vita zipo sponsored na politicians I can't F.....***
 
Na kwann mapigano yawe ni Congo mashariki pekee kwenye mali na sio congo fasi ingine
That is interest war
Ndo maana huwa nasema Kama umekosa kazi ni vizuri ukafanya hata udalali kuliko kufa unawapambania wanasiasa.


Jamaa aliyekuwa Kati ya hao watatu namjua in out na baba yake ni muhadhiri wa chuo kikuu.
 
Yaani mzungu ategemee soko la Silaha afrika,Afrika sio wanunuzi wakubwa wa viwanda vya silaha Ulaya.
Pia kwann sisi tusikatae kuwa soko.
Maana wapumbavu wasio na akili ndio upigana,mbona hao wazungu wao hawapigani hovyo kama ng'ombe
Ni kweli viwanda vyote vya ulaya na Amerika wanatutegemea tununue kwao. Siyo silaha tu hata nguo, chanjo, dawa etc. by the way Mh. Magufuli alitaka tuanzishe viwanda vya dawa, chanjo etc sijui hili liliondoka naye?
 
Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.

Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Wewe ni fala fulani......naona unamuabudu huyo utapiamlo bila kujua hana lolote...jipe muda utajua hujui..
 
Ni kweli viwanda vyote vya ulaya na Amerika wanatutegemea tununue kwao. Siyo silaha tu hata nguo, chanjo, dawa etc. by the way Mh. Magufuli alitaka tuanzishe viwanda vya dawa, chanjo etc sijui hili liliondoka naye?
Sis ni kwa ajili ya malighafi ulaya na sio soko ni dogo sana
 
That is interest war
Ndo maana huwa nasema Kama umekosa kazi ni vizuri ukafanya hata udalali kuliko kufa unawapambania wanasiasa.


Jamaa aliyekuwa Kati ya hao watatu namjua in out na baba yake ni muhadhiri wa chuo kikuu.
True ugomvi wa wanasiasa wawili unakufa wewe then baada ya mda wanapata huku watoto wao wako salama ulaya.
Wewe upo kaburini watoto,ndugu,na wazazi wako wanateseka.
 
Ndo wanalipwa kufanya izo kaz wacha watumikie ujira wao
Walizoea kutembea ma mademu za watu na kupiga watu kitaa sasa wacha wakapambane na majukumu yao labda akili zitawaingia
 
Back
Top Bottom