MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Mfanyakazi wa kawaida akifariki kwenye majukumu yake familia yake inalelewa nanani?Halafu familia zao nani atalea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfanyakazi wa kawaida akifariki kwenye majukumu yake familia yake inalelewa nanani?Halafu familia zao nani atalea
SawaHii misemo imepitwa na wakati.
nchi inachanja buga kwa sasa mbambo si haba nduguUzuri hatujawahi kujikomboa katika fikra zetu tunahitaji miaka 200 mbele
Na watadondoka Wengi tu Kudaddeki unachezea 'Namba M' Wewe?Ndugu popoma, kwahiyo hadi sasa wamekufa wa 3 au 12 jumla?
Na husemwa hasa na Wapumbavu wa aina yake.Hii misemo imepitwa na wakati.
Namtafua Kiongozi wao M23 nimpe Zawadi na Mauwa yake kwa Kazi nzuri na ya Kutukuka kabisa. Tukionya hawasikii tu.Acha uongo, wakati M23 wanalalamika JWTZ imewashambulia mlifurahia, ila baada ya kutunguliwa mmeanza kuhamisha magoli. Viva M23 lindeni ardhi yenu dhidi ya Intarahamwe.
Ngoja niwapigie Simu M23 niwaulize je, na leo hawajanidondoshea Mazuzu wengine? Nilipoonya hapa nilipuuzwa mno tu.Hongera M23 msikubali ujinga wa SADC. Ardhi ni ya kwenu kwanini mfukuzwe. Banyamulenge ni wacongo kwanini wafukuzwe kwenye ardhi yao kisa Wana asili ya kitusi. Very stupid SADC
Nawapongeza mno M23 kwa Kazi nzuri na ya Kutukuka.Yeah mwinda huwindwa......wameviziwa wametipiwa RPG ZA KUTOSHA
Sikujui ila kwa hiki Ulichokiandika hapa ni Jibu tosha Kwangu kuwa You're very Intelligent Mkuu.Another option ni kureview mpaka wa DRC na Rwanda na kurudisha mpaka uliokuwepo miaka 200 iliyopita kabla ya kuja kwa wakoloni. Likifanyika hilo vita itakuwa historia. Wazungu waligawa hivyo walivyogawa kuweka ugomvi na vita ili wauze silaha. By the way inabidi tuwe na viwanda vyetu vya silaha ili kuondoa utegemezi kwa wazungu ambao Wana interest na kuanzisha vita Afrika
Idiot.Wewe ni fala fulani......naona unamuabudu huyo utapiamlo bila kujua hana lolote...jipe muda utajua hujui..
Nakubaliana nawe 100% kwa hiki Ulichokiandika hapa Mkuu. Acha wadondoshwe tu na M23 had Wakome na Watuelewe.Ndo wanalipwa kufanya izo kaz wacha watumikie ujira wao
Walizoea kutembea ma mademu za watu na kupiga watu kitaa sasa wacha wakapambane na majukumu yao labda akili zitawaingia
Pumbavu ni yule Aliyekuzaa na Koo zako zote Mbili.Pumbavu wewe unadhani nani anakulinda mpaka unapata huo uhuru wako wa kuhemewa kisogoni na watu wa jinsia yako
I am flattered mkuu ... ThanksSikujui ila kwa hiki Ulichokiandika hapa ni Jibu tosha Kwangu kuwa You're very Intelligent Mkuu.
Ndugu yangu katika dunia ya sasa ustaaalabu na haki ni kitu cha kupewa kipao mbele , Kitu wanacho fanya Mishilini na tatu sio cha kupuuzia .Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka.
Shikamooni sana Namba M na labda sasa kuna Wapuuzi fulani hivi wa nchi moja watakuwa wanafuata nisemayo Ok?
Hakuna kazi...kule.....wamekaa vijijini.....na kuvizia wakimbizi wa kihutu na wakongo....na kuwabaka.Nawapongeza mno M23 kwa Kazi nzuri na ya Kutukuka.
Mpigie yule aliyekamatwa kiwalani uwanja wa ndegeNgoja niwapigie Simu M23 niwaulize je, na leo hawajanidondoshea Mazuzu wengine? Nilipoonya hapa nilipuuzwa mno tu.
Basha wako Tukuka au?Mpigie yule aliyekamatwa kiwalani uwanja wa ndege
Ina nininchi inachanja buga kwa sasa mbambo si haba ndugu
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0682022727. WAtoto wa mjini hao