Niliwaonya Simba kuhusu ulinzi wa CEO Barbara mkapuuza, ameshambuliwa Z'bar

INABIDI HANSPOPE ATAFUTIWE CHEO HAPO SIMBA WAHUSIKA WA SASA HIVI WAKO SO SOFT YAANI WALAINI KAMA MLENDA mnashindwa hata kumlinda CEO wenu anayedhalilishwa kutwa mitandaoni na ma redioni via makanjanja yaliyo kwenye pay roll?
 
hamna connection yoyote hapo mzee.
By the way unazungumziaje kipigo cha paka mwizi tulichowatembezea jana??
una kichwa kigumu sana bro ,tukio limetokea juzi kabla ya mechi halafu mbona unahaha sana kwani waliomshambulia ni wa deportivo la utopolo?siku ya december 30 nilipoonya haya yatatokea ya CEO kudhalilishwa ulinikebehi sana sasa yametokea unajaribu kuandika pumba zako
 
maoni yako hayo ndugu....kina kaduguda wananiudhi sana ,vita hii ya sasa siyo ya kawaida wakishindwa kufatilia hili suala wahusika wakamatwe nitawadharau sana
hamna vita yoyote hapa,
jana tumeshaua paka mwizi, jikiteni kwenye kuandaa timu.
 
Anajua maana ya kushambuliwa Sana? Maana kwemye match alikuwepo
Yeye angesema alidhalilishwa maana kushikwa tako sio kushambuliwa
 
 
Akipata wadada makini mithili ya wale ya Hayati Muamar Gaddafi, itakuwa poa sana
 
sitak kuamin kwamba CEO tena mwanamke anakosa ulinzi tena ktk maeneo ya mchanganyiko kama uwanjan
 
aachee ushezi huyooo, ina maana hajui msikiti ulipo?, nani alimwambia anzeee kubinua binua vi -makalio yakee au alikuwa anawatega wa-zenji? mwache apate alicho kuwa anakitafuta
 
😅 Au siyo, unataka Mkuu njaakalihatari ateuliwe awe a personal bodyguard wa Madam CEO.

Kazi ya kulinda pisi kali kama ile, haitachukua muda kabla ya mlinzi naye kusimamishwa kazi kwa utovu wa nidhamu.
hahahahahaha sijui hata kurusha teke lakini kutokana na jinsi nilivyo na njaa itabidi tu nichukue hiyo kazi au hata wakinipa kazi ya kukusanya mapaka meusi ya kutupeleka robo fainali ya CAF poa tu
 
Culture yetu bado hovyo sana aisee

Bado miaka hii,kuna gang motivated violence against women?

I still wonder

Halafu imetokea Zbar wanaposema kuna dini na maadili makali sana?

Dini ni matatizo sana

Logically hainiingii kichwani, kwamba watu wamkute anasali waanze kumvuta vuta?

Tena Zanzibar?

Sijui, inaweza kuwa kweli au kuna habari inatengenezwa.
 
aachee ushezi huyooo, ina maana hajui msikiti ulipo?, nani alimwambia anzeee kubinua binua vi -makalio yakee au alikuwa anawatega wa-zenji? mwache apate alicho kuwa anakitafuta
waoooh just waooohhh hii comment inazidi kuipa nguvu hoja yangu natumai wahusika wa simba watakuwa serious this time
 
Ni dhahili una jambo lako na huyo CEO.
 
Ni dhahili una jambo lako na huyo CEO.
lipi tena mkuu nakubali determination yake na mimi ni shabiki wa simba na vilevile naishi kwenye jamiii ya kitanzania yenye mfumo dume iliyojaa ma pervets yanyooona wanawake kama pisi kali ambao hatta wakibakwa utasikia kwa nini ulivaa suruali ya kubana ukawatamanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…