Uchaguzi 2020 Niliwashangaa sana waliokuwa Wakimkataa na hadi Kumchukia Chaguo la Mungu na la Wazanzibari Dkt. Hussein Mwinyi

Uchaguzi 2020 Niliwashangaa sana waliokuwa Wakimkataa na hadi Kumchukia Chaguo la Mungu na la Wazanzibari Dkt. Hussein Mwinyi

Umeuelewa Uzi lakini? Kuna mahala popote umeona nimeandika kuwa Magufuli ni Mungu? Kuna Watu huwa mnanitafuta Wenyewe ili tu Mnilaumu.

Naona hujaelewa swali au akili yako haiko sawa....!!! Bandiko lako umesema Hussein Mwinyi ni chaguo la Mungu.....Ngoja nikuweke sawa Kama utaelewa! Je, Mungu alikuwepo Dodoma kumchagua Hussein Mwinyi Kama mgombea wa Urahisi Zanzibar?
Ukweli ni kwamba Mwenyekiti Magufuli na jopo lake ndo wamemchagua Hussein Mwinyi kuwa Rahisi(siyo Rais) wa Zanzibar......Kama ulimsikia Magufuli vizuri alitamka hivi: TUTAKAYEMCHAGUA HAPA KATI YA MAJINA 3 NDIYE RAHISI WA ZANZIBAR!
 
Hahah siku ukikutana na pacha wako mzikulu au sijui muzikulu mtazichapa kavu kavu
 
Ungekuwa na Akili ungepoteza hivi muda wako na Mimi ambaye unaniona na umeshasema kuwa sina Akili? Sasa hapa hujioni kuwa Wewe ni Juha?
Lengo langu ni kukuweka sawa ili usiwe unaandika vitu ambavyo hata mtoto wa chekechea anavidharau.
 
Naona Sindano yangu yenye Dozi Kali tayari imeshaanza Kuwaingia. Poleni sana na ivumilieni tu kwani ndiyo Dawa yenu nzuri na ya Kuwatibieni.
Matusi ndiyo sindano!!
Matusi yako siyo mapya au adimu, yametapakaa mijini mpk maofisini. Mitaani huwezi yatafuta.
 
Ditram Nchimbi ( joshydama ) wa Yanga SC ya Tanzania anaweza kweli kumuweka sawa Lionel Messi ( GENTAMYCINE ) wa FC Barcelona ya Spain?
Hahahhhhhhh una mambo ya kitoto na ya kike sana dogo. Njoo na constructive ideas & facts ili wadau wakuelewe na siyo kuandika nonsensical facts hapa. Acha tabia za wanawake.Wise up.
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Ila hata mie natamani 2025 awe yeye ila sijui kama itawezekana
 
Duh chaguo la wanaccm linakuwa chaguo la mungu?
1. Mungu huwa anapoteza watu?
2. Mungu anapiga risasi watu?
3. Mungu anabambikia kesi watu?
4. Mungu ana wakosesha ajira watu?
5. Mungu ni mla rushwa

Mungu hawezi kuwemo ndani ya ccm na natabiri machafuko hapo ndipo watu watafukuliwa walipozikwa na wanaojiita wasiojulikana
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Kumbe Mungu anachagua wagombea ?
 
Umeuelewa Uzi lakini? Kuna mahala popote umeona nimeandika kuwa Magufuli ni Mungu? Kuna Watu huwa mnanitafuta Wenyewe ili tu Mnilaumu.
Yeye ndie aliyemchagua mwinyi km hisani ya furaha baada ya mzee mwinyi kusema anatamani magufuli atawale milele
 
Back
Top Bottom