Gentamycine : wewe kweli umelikoroga. Huyu Hussein kwenu nyinyi inawezekana ana paa. Lakini kwa wazenji, hana mashiko. Ali Hassan ana lazimisha mwanae lakini kiuhalisia hana ngome zanzibar. Ni kama popo tu. Na kura hashindi ila atandiwa kwa nguvu ya dola. Wazanzibari tuacheni na uzezeta munao tufanyia. Sisi ni nchi kamili ilio kubalishwa kushiriki katika muungano na sio mkoa. Heshima kitu kidogo sana lakini munapokuwa hamu heshimu wenzenu na kujifanya muna hati miliki ya zanzibar sisi wazanzibari tumeikataa CCM.