Uchaguzi 2020 Niliwashangaa sana waliokuwa Wakimkataa na hadi Kumchukia Chaguo la Mungu na la Wazanzibari Dkt. Hussein Mwinyi

Uchaguzi 2020 Niliwashangaa sana waliokuwa Wakimkataa na hadi Kumchukia Chaguo la Mungu na la Wazanzibari Dkt. Hussein Mwinyi

Gentamycine : wewe kweli umelikoroga. Huyu Hussein kwenu nyinyi inawezekana ana paa. Lakini kwa wazenji, hana mashiko. Ali Hassan ana lazimisha mwanae lakini kiuhalisia hana ngome zanzibar. Ni kama popo tu. Na kura hashindi ila atandiwa kwa nguvu ya dola. Wazanzibari tuacheni na uzezeta munao tufanyia. Sisi ni nchi kamili ilio kubalishwa kushiriki katika muungano na sio mkoa. Heshima kitu kidogo sana lakini munapokuwa hamu heshimu wenzenu na kujifanya muna hati miliki ya zanzibar sisi wazanzibari tumeikataa CCM.
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
GENTAMYCINE ,clever bright,mzukulu =same ID
 
Baada ya kufa Ruge kwa lethal poison ata omusigazi Maxence Melo kawa omutini munno.
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Una tabia za kike we popoma
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.

Bila shaka , Baba katumikia uraisi wa SMZ. Na anachukuwa pension yake na katumikia Serikali ya Tanganyika nako anakula pension , kwa nini asimpiganie mwanawe, na kwa nini wengine wanaopiga ndege wawili kwa jiwe moja. Wasiupiganie muungano. Keki tamu hii
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Vyumbu tu ,nzi wa kijani
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.



Huyu kubwa ji**n*ga ukiingia kwenye anga zangu ntakuogesha ndoo za matusi mpaka utakoma unatukana watu wazazi we Dada ntakuwashia moto soon.
 
Je ni sahihi kwa ccm kutekeleza mawazo ya Mange kimambi?
 
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.

Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Kakojowe ukalaleee
 
Back
Top Bottom