Uchaguzi 2020 Niliwashangaa sana waliokuwa Wakimkataa na hadi Kumchukia Chaguo la Mungu na la Wazanzibari Dkt. Hussein Mwinyi

Gentamycine : wewe kweli umelikoroga. Huyu Hussein kwenu nyinyi inawezekana ana paa. Lakini kwa wazenji, hana mashiko. Ali Hassan ana lazimisha mwanae lakini kiuhalisia hana ngome zanzibar. Ni kama popo tu. Na kura hashindi ila atandiwa kwa nguvu ya dola. Wazanzibari tuacheni na uzezeta munao tufanyia. Sisi ni nchi kamili ilio kubalishwa kushiriki katika muungano na sio mkoa. Heshima kitu kidogo sana lakini munapokuwa hamu heshimu wenzenu na kujifanya muna hati miliki ya zanzibar sisi wazanzibari tumeikataa CCM.
 
GENTAMYCINE ,clever bright,mzukulu =same ID
 
Baada ya kufa Ruge kwa lethal poison ata omusigazi Maxence Melo kawa omutini munno.
 
Una tabia za kike we popoma
 

Bila shaka , Baba katumikia uraisi wa SMZ. Na anachukuwa pension yake na katumikia Serikali ya Tanganyika nako anakula pension , kwa nini asimpiganie mwanawe, na kwa nini wengine wanaopiga ndege wawili kwa jiwe moja. Wasiupiganie muungano. Keki tamu hii
 
Vyumbu tu ,nzi wa kijani
 



Huyu kubwa ji**n*ga ukiingia kwenye anga zangu ntakuogesha ndoo za matusi mpaka utakoma unatukana watu wazazi we Dada ntakuwashia moto soon.
 
Je ni sahihi kwa ccm kutekeleza mawazo ya Mange kimambi?
 
Kakojowe ukalaleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…