Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Inawezekana ni mpango kazi wa huyo dada na Anwari kwa maono yangu kwani hakukuwa na uthibitisho wowote kama huyu dada aliyemkuta na Anwar ni dada yake Zai kwani yeye alitambulishwa tu na huenda hata pale hospital ulitengenezwa mchongo kuonekana Zai anaumwa na Anwar afanye malipo kama kumtamanisha Mage,huo ni mpango kazi[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] Nacheka sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…