Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Kumbuka alikua ameekewa dawa ikampoteza fahamu au ndio Anwari hakujali kama ana ufahamu au hana as Long as ndio huyo na yupo nae hapo yeye hamu zake kamaliza na alibaki mwepesiii☺️!,!
Lengo lilikua moja tu kumnyandua Magreth hakujali kama yupo timamu au lah na alilithibitisha hilo kwa reference ya alivyowahi fanya Magreth kipindi anamhitaji Anwari amtie mimba.
 
Sawa mkuu! Halafu hivi alomuua mamkwe ishajulikana ninani Kwani??? Mi bado sijaelewa yule mama kama kweli alikufa kwa presha na kisukari au ni Mage na Kama ni Mage si alikua anaota au??
Alikua anaota lakin alipoamka alikua anaumwa viganja kwahiyo kuna namna Amiri alimtumia Magreth kuteketeza maisha ya mama mkwe.
 
Next target ni Anwari sijui ndio tayari kashakufa maana hapatikaniki.

Mvumilie tu ndie mama wa mumeo, mwanaume uliemchagua miongoni mwa wengi. Remember na wewe ni mama mkwe miaka michache ijayo πŸ˜„
 
Wa kanda ile ukae tuu uwaangalie utaona mengi kikubwa uvumilivu...pole sana..ila mkiwa wamoja ww na mr hakuna kitakachowateteresha
 
Huyo mamkwe wako ni muhuni mama unaanzaje kumtaftia mwanao wanawake ili hali anajua fika mwanae ameoa? Kuna mengi sana yanaendelea kati yao ila huyo mama ana tabia za kishenzi mno. Pole sana ndio mamkwe wako tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…